Pata jibu kamili kuhusu swali lako
hbr maumiv y a tumbo kwa juu yanasababishwa na nini
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 710
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Je mimba ya siku nane iaweza kuonekana kwenye kipimo cha mkojo?
Da dokta usinichoke nikutaka kujuwa tu pia ninauliza kwanini tunapoenda kupima hospitali twende miezi 3 wakati kipimo uonyesha kuanzia wiki 3
Naomba unisaidie nashida moja kweny koo nikila pipi au k2 chochote chenye sukar naskia kooo linakaauka itakuwa ni shida ya nn
Naomba kuuliza kuhusu watu wanaofanya mapenzi kwa mdomo, means kunyonya sehem za Siri,1.wale bacteria au fangus wanaweza kusababisha kansa ya Koo? 2.kama ni ndio utajuaje kama umepata saratani kwa muda huo?3. Kama wapenzi walikua wanFanya hivyo either Mara 3 au 4 alaf wakaacha madhara gan yatatokea? 5. Hatua zipi zichukuliwe Kama Kuna magonjwa yatatokea?
Samahani nlinunua kipimo cha hiv nikajipima mwenyewe majibu yalitoka negative lakini baada kama ya lisaa limoja nlipoludi kuangalia kipimo kwa mala ya pili nikakuta kuna msitari1 wa negative unaoonekana vizuri kabisa halafu kuna mistari mingine miwili iliyopimda pinda na haijafika chini jumla inakua mi3
Samahan unaweza kuuamini vip Kama una ujauzito