Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Saratani ya matiti inaweza kuzuiwa?
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Swali langu ni kwamba kiungulia linaweza sababisha Kansas ya Koo?
Mm tumbo linaniuma alafu hedhi inatoka lakini so nyingi lakini pia nkiponyeza matti yangu yanatoa maziwa je itakuwa ni nn?
Kuna mtu anatumia miwani na bado macho yanamuuma,je atumie dawa gani ,au afanye nini ili kuweza kuondoa tatizo hilo?
Kuharisha ni njia moja ya kutaka kujifungua ni dalili yani
Habari za asubuhi. Nmesoma kwa makini sana kazi za protini mwilini. Lakin pia nmesoma ikizidi sana mwili matatizo yake. Nauliza kama ikizidi inakuwa shida ni kiwango gani cha protini mtu atumie kwa siku na ale na wanga kias gani?
Mimi nimefnya mpzi baada ya siku tano nimeona dalili za mimb ila baada ya wiki moja nimepima sina mimb ila nipo na dalili hadi sasa inakuwa nini