Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Saratani ya matiti inaweza kuzuiwa?
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Ninasumbukiwa na uvimbe wa titi nitajuaje kama uvimbe ni wakaida na nimda gani nikae ili nikamuone doctor?
Habar ya ww mtaalamu ,sasa nilitaka kufahamu kama shilingi inaweza sababishwa na minyoo maana hapa nilipo ninashilingi kifuani nimetumia dawa za kupaka inasaidia ninapoendelea kutumia dawa ,dawa inapokuwa imeisha yenyew inaanza upya na shilingi hii inawasha na ina uweupe Fulani ina mda kama miaka 6 saiv haitaki kuisha,vilevile saivi imeongezeka kichwani na hata usoni ,nilishauriwa pharmacy kwa nitumie dawaa ya minyoo itasaidia
Sababu ya kutapikika mwanamke akiwa period
Mimi swali langu kuu ni mapigo ya moyoo wangu yanaendaa kasii kwel shidaa itakuwa ni nin
Na piah mdaa huo huo mwili huishaa nguvuu na kizungu zunguu
Swali langu nikwamba baada ya kufanya mapenz baada ya siku 1. Au 2. Mwanamke anaweza. Kuwa na dalili za ujauzito?
ukichanganya majani ya muarobaini, karafuu,na thaumu kisha ukavitwanga inaweza kutibu jino