Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Saratani ya matiti inaweza kuzuiwa?
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Nina mimba ya wezi na wiki mbili ila kuna siku napat iyo damu alafu inapotea aina shida kwangu??
Kama mtu mzunguko wako wa kawaida .naukafanya tendo la ndoa ukiwa kwenye hedhi utapata mimba?
Hbarai,mimi nina swali naomba msahada nilishea tendo na mtu ambae alikuwa na nia mbaya kumbe ni muathirika na baada ya mwezi tulienda kupima lakini mimi nikakutwa mzima na yeye alikuwa na maambukizi na toka hapo sina hamani je hii imekaaje?
mm najaribu kufanya sex kwenye siku hatari lakn Mtu wangu hashiki mimba mpk saiv Nina miezi Tano tunatafuta mimba lakn Hamna. Na pia Kwa Upande wangu naona manii ni nyepesi sio Kama zinazohitajika . Nini suluhisho lake mkuu
Nnamchumba wangu nampenda sana lakn Kwa bahat mbaya nmebeba mimba ya mwanaume mwingine nifanyeje
Habar, mimi nina swali je mtu anaweza kufanyiwa operation ya tez dune na ugonjwa ukajirudia tena?