Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Saratani ya matiti inaweza kuzuiwa?
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Nimenunua hili tunda zaituni kwanza,nimelionja kwamarayakwanza tangu nizaliwe sijawai kuila baada ya hapo nimegoogle nakwangalia faida zake Nahitaji kujua mengi kuhusu hili tunda
Nina irregular hedh tangu nakua lkn niliambiwa Nina ovarian cyst, homornal imbalance, na mayai hayajakomaa nilipewa dawa za kutumia lkn hazikusaidia
Nina miaka 29 mi Ni mwanaume swali langu nliumwa vidonda vya tumbo soon nkatbiw lkn mdomo kweny lips zinakauka Mara kwa Mara j Inaweza kua n viashiria gan???????? Pli j unawez kusex n mtu mwathiriak hlf usipate maambukiz??
Je? Sababu inakua ni nin mpaka mimba inafikia mie mitat inatoka
Kaka mm nimewahi kupata ajali nikabamiza kichwa nikawahi kupona lakini nilivy pona mdomo ukaanza kupasuka mwaka umefika tangu nipate ajali hiyo nilitokwa na damu nyingi sana nikapugua uzito
Kuna dawa gani ya asili ambayo mtu anaweza tumia akapona fangas vzr?