Pata jibu kamili kuhusu swali lako
vifaa vinavyotumika kumsafisha mwanamke sehemu za siri
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 117
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Samahan mi naomba unifundishe ukisha jifungua unaoga je?
Na jihisi kichefuchefu na ubongo kuhuma na mwilini moto na shingo kuhuma pia, Naomba unisaidi baba
Hello samahan iv tezi dume inaweza sababishwa na ngono zembe
Nauliza vidonda vya tumbo vinatibika?
Je? Sababu inakua ni nin mpaka mimba inafikia mie mitat inatoka
nasumbuliwa na maumivu makali sana upande wa chini kushoto wa tumbo yanayopelekea nahisi kama mmeng'enyo na kuwaka moto sana .
Vilevile Katika UKE natokwa na majimaji yenye harufu mbaya na ute wa rangi ya njano maziwa hv.
Sijajua tatizo ni Nini haswa na nawezaje kupata matibabu ya matatizo haya , nikapona kabisaa