Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Me naitaji kujua dalili. Ama viashilia vya vvu
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 327
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Hlw me kujuwa nilipima nyumbani mimba baada kukosa siku zangu kwa miezi 2 na niumwa hivyo majibu yakaja hivi. Je dr naomba unisaidie ni mimba ?
Mim naumia tumbon nasikia maumivu makali misuli inavuta.pia nikila chakula nashiba upande mmoja nashindwa kujua shida nn
fangasi inayoweza kutibika iwe imedumu kwa muda gani ?
Dalili za ugonjwa wa kisukari ni zipi?
JE kuhisi Kama miwasho au sisimizi inakutamba mwilini
Habari,naomba kuuliza je katika iyo hali ya kuwa na fangasi ukeni halafu ni mjamzito unweza kutumia dawa zakuweka ukeni kama zile tube au vidonge? Au kunanjia gani tofauti yakuzuia iyo muwasho,majimaji machafu?