Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Me naitaji kujua dalili. Ama viashilia vya vvu
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 327
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
mm najaribu kufanya sex kwenye siku hatari lakn Mtu wangu hashiki mimba mpk saiv Nina miezi Tano tunatafuta mimba lakn Hamna. Na pia Kwa Upande wangu naona manii ni nyepesi sio Kama zinazohitajika . Nini suluhisho lake mkuu
Habari? Kuna dawa za kumaliza pressure ya kupanda moja kwa moja mbona mi Kila nkienda hospital napewa dawa za muda mfupi tu Kisha baadae pressure inanirudia tena
Mom nilifanya mapenzi na mdada kufanya mapenzi Mimi nilikua nimetumia Kinga lakini nilipomaliza kufanya mapenzi nikakuta kwenyemwiliwangu amenipaka damu Sasa hapo ndo hofuyangu kubwa kuwa nimepata ukimwi
Samahan I doctor mm nilikuwa na mimba ila ilivuja haikutoka je ilikuwa na wiki3 je inatakiwa nikae mda gani nipone au inatakiwa nipime mda gani
Smhn ugonjwa wa ukimwi unawez kuambukizwa kutkn na mate
Ninashid ya kuumwa na tumbo upand wa Julia Kwa chin tatiz ni nin