Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Samahani nina vipere kwenye uume dawa ya asili ni ipi
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 662
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Habari za kazi mkuu,ninalo swali kuhusu vitamin,k,inafanya kazi gani kwa mwili wabinadam
MAumivu makali chini ya tumbo baada ya tendo
Nnajisikia tumbo kwa chini maumivi upande wa kushoto mda mwingine kama gumu hvi maumivi yanaenda hadi korodani upande wa kushoto na mshipa ule unaoshikilia korodani ya kushoto unaumaa hadi ngozi ya korodani inakuwa nyepesi hadi inanata kwenye mapaja
Kama mtu mzunguko wako wa kawaida .naukafanya tendo la ndoa ukiwa kwenye hedhi utapata mimba?
Kirusi cha vvu kinakaa muda gan kwenye vitu vyenye ncha kali
Samahani muudumu naomba unielekeze kuhusu hili swala nilialibikiwa mimba ya mwezi mmoja na nilitokwa na damu ndan ya wikiii sita na nimekaa wiki mbili damu zinatoka tena ivii ni tatizooo aul
Na pia baada ya damuu kukata nilitokwa na ute ute ambao ulikuwa unaniwasha