Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Samahani nina vipere kwenye uume dawa ya asili ni ipi
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 662
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Habar doctor mimi ninatumia dawa za pressure 2 years sasa lakn 2023 hii moyo unanienda mbio natembea kidogo tu lakn moyo unanienda ressi sana had nipumzkeee ndo nakaa sawa hata kushuka kitandan kwenda choon naskia hivyo nawa kma mtu aliyekimbia sana had nipumzke ndo nakuwa sawa naomba unisaidie
Kwa kawaida hku kwetu M beya gunia la debe 10 huuzwa lakimoja, kipindi Cha maandalz ya kilimo mkulima huomba kukopa elfu 50 na kuahd kulpa gunia Moja la debe 10 wakati was mavno he katika uislamu hl ni halali?
Namaswali machache Kuhusiana kushik mimba. Mimi niliingia period tarehe 4 mwez uliopita yaan December, n mwez wa11 pia niliingia hedhi tarehe 4. So maximum kua siku ya hatr n siku ya10 c ndio ambay n tareh13 na nimekutan n mmewangu siku za hatr kimwili, leo nimepima mimba Ila kimekuj kimstari kimoja, inamaanisha sina mimba au nimewahi kupima ujauzito?
Hello ukiwa umelala na mtu alafu condom ikapasuka gafla ukatoa apo kwa apo je unaeza athirika na ugonjwa
abali zamajukum kwann mungongo wang unauma alaf natumbo pia linauma linaka napia najisikia njaa mala kwamala et
hbr maumiv y a tumbo kwa juu yanasababishwa na nini