SWALI LETU

Pata jibu kamili kuhusu swali lako

Swali #353 16-02-2023 17:10:56
Question Icon

uwashwa mwili na kutoa mapele manene, kukosa hamu ya kula na kuhisi maumivu ya tumbo ni dalili ya aina ipi ya minyoo na dawa gani itumike?

JIBU

Huwenda sio minyoo tu. Kuwashwa na kutoa mapele ni dalili za fangasi pamoja na mashambulizi ya makteria. Tumbo kuuna na kukosa hamu ya kula inawezabkuwa minyoo ama Typhod.

Jambo la kufanya onana na daktari

Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.

MASWALI YANAYOFANANA

Angalia Maswali Zaidi