<p>uwashwa mwili na kutoa mapele manene, kukosa hamu ya kula na kuhisi maumivu ya tumbo ni dalili ya aina ipi ya minyoo na dawa gani itumike?</p>
JIBU
Huwenda sio minyoo tu. Kuwashwa na kutoa mapele ni dalili za fangasi pamoja na mashambulizi ya makteria. Tumbo kuuna na kukosa hamu ya kula inawezabkuwa minyoo ama Typhod.