Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Mwamke kua na uke mkubwa chanzo chake nn?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 564
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Je Kama unaskia muwasho tu sehm za sir nayenyew n dalili za ukwimw
Mm napata maumivu ya tumbo upande wakushoto chini
Nina umri wa miaka 21 msichana naomb uxhaur nilitoka period siku ya 5 nikakaa siku mbili nikafanya mapenz je naeza pata miba
Nina majimaji yanatoka kwa wingi yaan naweza badilisha chipi hata Mara 3 kwa siku alafu yakitoka yanaganda kwenye chupi hiyo Ni Hali ya kawaida harufu yake ipo Ila sio mbaya kivile. Je ni nini tatizo
Mimi ninadalili zote za ujauzito ila nkipima negative sijui nn shda
Nina miaka 23 nimefanya mapenzi siku ya pili baada ya kumaliza period lakini naona damu zinatoka ukeni sijui nini tatizo