Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Naomba kusaidiwa je kutoka na maji sehem za Siri baada ya tendo ni vibaya jmn
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 184
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Kipimo Cha u.t.i pia kina weza kugundua mimba
Mpenzi wanguu alimeza dawa ya kuzuia mimba mara mbili na akatokwa na damu kidogo ikawacha na kwa sasa amepima mimba mara mbili na inaonyesha kuwa hana ujauzito ila leo kaniambia anaskia kuchefukwa na roho je inaweza kuwa ni tatizo gani ama ana ujauzitoo???
Maji maji meupe ukeni naomba kujua chanzo chake na tiba yake kama mgonjwa anadalili ya fangasi.
Yaan vyakula vya protin nikila vinanizulu nifanyejee Yaan mwili unakosa nguvu kabisa
Mimi ni bety kutoka Arusha, nauliza je bamia unaweza kusaidia kutibuvidonda vya tumbo??
Naam inawezekan Mtu kupungua uzito kwa sababu ya msongo wa mawazoo??