Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Naomba kusaidiwa je kutoka na maji sehem za Siri baada ya tendo ni vibaya jmn
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 184
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Hlw nimesoma nakala yenu nasumbuliwa na tumbo upande wa kushoto kuna muta yanakuja na kupotea
Hi Nauliza mke wangu alitokwa na ujauzito mwezi was kumi mwaka Jana mpaka sai haja shika ingine shida inaweza kua nini
Jamn samahan......nataka kujuaa kuwaa kutoa mimbaa na majani ya chai n kwel ???
Habari ya saizi,nimesoma vizr ujumbe wenu nanimeuelewa lkn mm naona dalili ya ukurutu mwilin mwangu ambao cjawah kupata toka nazaliwa yni na niliwahi kuwa napunye miaka minne iliyopita nimetumia kila dawa punye cjapona je punye Hilo inaweza ikawa dalili ya vvu?
mama yangu anasumbuliwa sana na vidonda kwa mda mrefu Sasa takribani mwaka sasa na hajapata nafuu mpaka imefika wakati hawezi kutembea na anazimia sasa nifanyeje
Ninashid ya kuumwa na tumbo upand wa Julia Kwa chin tatiz ni nin