Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Naomba kusaidiwa je kutoka na maji sehem za Siri baada ya tendo ni vibaya jmn
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 184
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Niliharibikiwa na ujauzito wa week 7 kutokana na kuumwa ambapo nikatumia dawa ambazo sikujua kama Zina effects za kuharibu mimba so nikasafishwa kizazi nikapewa na dawa nikarudi KATIKA Hali yangu kawaida Lakini Leo ni kama siku ya tatu ninahisi maumivu Kwa mbali hasa chini ya kitovu upande wa kushoto au hta nikibinyabinya hiyo sehemu na mkono JE MAUMIVU HAYO YANASABABISHWA NA NINI ?
Naomba kuuliza me niliweza kulala na mwanamke baada ya wiki tatu nikaambiwa kuwa amethilika nilipoenda kupima nakakutwa sina maambukizi na mwezi wa tatu tena nikapima sikukutwa na maambukizi swali langu je naweza kuwa na maambukizi ama sikupata maradhi siku nilipo lala nae??
Dawa Kwa mtu aliyevimba baada ya kuungua na mafuta ili kutoa malenge lenge ya uvimbe
Naomba niulize mtu anaweza kubeba Mimba akifanya mapenzi akiwa period
Mm natokwa na uchafu mweupe mzito nasijisi km Nina mimba shida itakuwa Nini daktari
Assalamu Alaikum me natak kujua mpangilio wa kutia udhu