SWALI

Samahan kwa usumbuf naomba ushauri wenu mimi nina ujauzito wa wiki 37 ila tumbo linaniuma kiuno kinauma natapika maji machungu chuchu zinauma kwenye magoti na kwenye uti wa mgongo naomba ushauri yote haya yana sababishwa na nn samahan kwa usumbuf lkn🙏🙏

Swali No. 1002


JIBU
Samahani Jbu la swali hili Limehifadhiwa. Nicheki Whats App upte majibu ya swali hili.
Nicheki WhatsApp Bofya hapa(Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 1002 )

Kumbukumbu
Swali hili limeulizwa na Muulizaji Kutoka WhatsApp Chat yetu tarehe 06-04-2023-12:06:08 . Jina la muulizaji limehifadhiwa.

Nicheki Nicheki WhatsApp






MASWALI YANAYOFANANA