Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Unatoa maoni gani iwapo wanao jua na wasio jua wapo sawa kiutendaji
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 1063
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Às/alaikum.naomba kuuliza kupagiwa formula ya mgao wa mirathi..marehem kaacha mil 18 kaacha watoto wa kiume 5 na wa kike 6
Nini kilicho mfanya bukhadija afariki alikuw anaumwa au?
Asalam aleykum warahmatullah wabarakatu naomba kuuliza kwamba Nia peke yake inatosha kumfanya mtu awe ameingia katika uislam bila kutaja shahada
Pili kama mtu akashududia kwa kiswahili je inaswihi?
Mimi ni ustadh nafundish madrasa sasa nimeombwa hapa kwenda kufundisha edk secondary
Sasa mnaweza nisaidia notes lakini namna ya kuandaa majaribio
Asalam aleikum warahmatullah wabarakatuhu, mimi nimemuachia mke wangu zakatul fitri aigawe ,bahati mbaya mlengwa katafutwa zaidi ya mara mbili hakupatikana ,kaja kupatikana baada ya swala ya iddy, nini hukumu ya hiyo zaka?
jee: mtu aka dungwa sindano ita haribu swaumu ya mtu?