Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Unatoa maoni gani iwapo wanao jua na wasio jua wapo sawa kiutendaji
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 1063
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Sheikh nina swali langu kidogo nataka kuliza Kabla ya kunirudia ile talaka ya pili akaniandikia kwenye simu ya 3 je itakua zimesha malizika zote 3 Mume wangu aliniacha talaka moja alafu aka nirejea tukakaa baada ya kipindi kdg akaja kuniacha talaka ya 2 akanirejesha kwetu
Asalam alaykum nataman kujua zaidi kuhusu kisimamo Cha usiku
Aww ninaweza kupata clips za namna ya kuswali swala vita, namna ya kuosha maiti
As,alykum,فتنةا،نقلب علاوجهه ndugu .muislamu,naomba,nisaidie,endapo nitasimama kwenye,neno fitnatun.neno la mbele nitalianzaje?
Assalam aleykum nilikuw nauliza je Kuna dua yyote ya kumsomea mait wakati wakumuosha??
Nina swali mutu kuwa na mate machungu ndani ya miezi 6 ni dalil yq ukimwi?