Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Mafunzo yapatikanayo katika vita vya tabuki
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 367
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Je? Kwa mtu ambaye amevunja kiapo anatakiwa kuwalisha maskini kumi chakula cha katikati anachowalisha watu wa nyumbani kwenu. Sasa swali langu chakula cha katikati kiasi gani na anatakiwa apeleke kwa muda gani?
Asalam alaykum.ninaomba kuulz swali je ukiwa n majosho mawl mfano hedhi n nifasi je utaoga moja Kwa kukusudia majosho yote au utaoga moja moja Kila Josho Kwa kujitegemea
Dua kwa mama mjamzito anae umwa na hajifungui
Kusuka nywele zauzi ukaunganisha kichwani nimakosa au simakosa
Assallam Allykum, sorry Kuna Wana ndoa waligombana na katika huo ugomvi mume akamtamkia mkewe kuanzia Leo sio mke wangu Kwa talaka Moja, alaf hata nusu saa haikufika mume akaomba radhi Kwa mkewe na kufanya tendo la ndoa Kwa madai ya kutengua talaka je, mume yupo sahihi kweli ktk hili?!
Elezea mbinu 6 walizo tumiya makafiri wa maka katika kuhilikishwa wiisilamu