Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Ukiingiza kwenye uke ukitoa utoka na weupe wakunuka saan shida nini hapo
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 336
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Je, utawezaje kuishi na mtu mwenye presha ukiwa mbali nae?
kuna muda uume unalegea kwenye tendo.. na sanyingine inanitokea tuu unalegea kabla hata sijaanza
Mm na mwashoo wa macho kila siku piaa yanaonekan ni dhaif San jee! Ni dalili ya nn??
Samahani naomb kuuliza mapigo yamoyo hua yanaenda mbio sana lakini kwa mda mfupi mpaka naishiwa nguvu nahisi kuchoka,ila nlishawahi kushikwa napresha nkiwa mjamzitoe je nifanyaje hiyo hali ipotee
Habari samhn mim naon dalil za ujauzito Kuna muda kichef chef minakuja kwa muda usingizi na mstari chin ya kitovu kun mstar mweus kwa mbali lakin nashangaa Leo naziona siku zangu sjui kwanni inakuw hivi
Nilikuwa nataka kujua nilazima kumeza dawa bila kupitisha muda au ukichelewa kutakuwa na shida