Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Tatizo langu ni kuchubuka kene kichwa cha uume wangu pindi nmalizapo tendo
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 785
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Dalili za mimba zinazoonekana ukeni
Ivi mtu mwenye ukimwi anaweza akatokwa na vidonda vya homa ya usiku?? Vinavytoka pembeni ya mdomo kama vipele
Nina wiki mbili hivi nimefanya mapenzi na rafiki ...nina hofu huenda aka ni mgonjwa
Mimi ni Virgin (bikra) kila ninapojarib kufny mapenz ili kutoa virgin inashindikan huwa nasikia maumiv makal mpk naogopa na nina kuwa na hofu na sna uteute yaan uke wang ni mkavu
Ok shida yangu nikwamba nasikia maumivu makali tumbo la chini na mpaka kwenye mishipa ya korodani na kwenye nyonga pia kichwa kinauma
Nilifanya tendon siku ya danger kabsa ila nilimeza p2 je kunauwezekano Wa kupata mimba