Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Ninapo fanya mapenzi nitapo taka kukojoa ume unasinyaa
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 802
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Niko na vitu kama upele kwa makwapa je shida inaeza kua nini
Kukojoa damu mwishoni mwa mkojo kunasababishwa na nini ukiachana na kichocho, uti
Vipi boga kuhusiana na mgonjwa was sukari
Wakati wa kukojoa huwa na pata maumivu makari Sana pale ninapomaliza kukojoa na maumivu chini ya kitovu je ni ugonjwa?
shida yangu nikiishi na mwanamke matokwa na usaa
Mpenzi wanguu alimeza dawa ya kuzuia mimba mara mbili na akatokwa na damu kidogo ikawacha na kwa sasa amepima mimba mara mbili na inaonyesha kuwa hana ujauzito ila leo kaniambia anaskia kuchefukwa na roho je inaweza kuwa ni tatizo gani ama ana ujauzitoo???