Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Mim ninaukosefu wa nguvu zakiume, naomba msaada
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 430
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Hv ukishiriki na mtu mwenye ukimwi waweza pata papo kwa papo
Hi Nauliza mke wangu alitokwa na ujauzito mwezi was kumi mwaka Jana mpaka sai haja shika ingine shida inaweza kua nini
Me naitaji kujua dalili. Ama viashilia vya vvu
Nilitumia contraception after sex baada ya twelve hours bt ninaona matone ya damu kidogo kidogo kunauwezekano nimepata mimba?
kuhusu hizo dawa za fangas zilizo tajwa hapo juu mjamzito anaweza kuzitumia,
Dawa inayo zuia chango linalo toa mimba ni nini?