Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Habari je mtu Mjamzito tumbo hujaa gesi mara kwa mara
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 180
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Habari nimehifrahia makala Yako hila naomba kujua itachukua kipindi Gani kuzitambua hizi dalili za ukimwi endapo atakuwa amepata maambukizi kwa mara ya kwanza??
Mimi nililala na Mwanamke mwenye ameathirika niko na wiki mbili saii je nitasaidika kweli
maana kuna ugonjwa unanisumbua katika uke wangu kutokwana uchafu jee akua niyeye kaniambukiza au ni nini?
Kipimo Cha upt mstari wa pili ulikuwa haujakolea je iyo Inaweze kuwa mimba ya mda gn maana nimekutana na wanaume wawil ndan ya huu mwez
Doctor habari, samahani Mie Kuna kitu kimeniahtua sijui ninttizo au maumbile sielew, kwenye uke wangu sehemu ya kinembe sijui ndo kinena Kuna kinyama kimetoka yaan Kama kimegawanyika katikati alafu upande mmoja wa kushoto ndo Kama umetoka kinyama Sasa sielew Nini nini
Samahan mimi mzunguko wangu nsku 30 uwezekano wakupata mimba nsku gan hasa mtoto wakiume