Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Habari je mtu Mjamzito tumbo hujaa gesi mara kwa mara
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 180
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Nilitumia contraception after sex baada ya twelve hours bt ninaona matone ya damu kidogo kidogo kunauwezekano nimepata mimba?
Mimi nataka dawa za kiungulia alafu uniambie na vyakula vya kula...uenda nakosea kwenye vyakula ninavyokula
Habari Mtaalam, Mimi ni mwanamke ambaye tumetengana na Mumewangu mwaka mzima.Wiki hii alumina nyumbani na tukashiriki tendon la ndoa. Masaa 5 baada ya kushiriki mwili ULIKUWA MCHOVU hadi nikaanza kulala Orsini hadi sasa ni siku ya tatu mwili ni MCHOVU siwezi Tanya chochote.
mm mulishawai kuumwa uti na kupatiwa tiba Ila kwa Sasa Kama sijanywa maji ya kutosha huwa inaniludia na nimechomwa sindano Mara mbili ila nikitibiwa huchukua mwezi harafu inaniludia .je, unanishauri nn Dr.
Assalam.alykum,sababu za mam aliejifunguwa kuvimba kwa uso
siku salama na siku hatari kwa mtu mwenye mzunguko wa siku 28 ni zipi?