Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Nin umri wa miaka 25 nilikua na mpenzi nimeseks mara mbili ila alivoenda kupima aligundulika mwasilika je munanisaidiaje kwa hlo Mm nilikua sjajua kama kasha athirika
Kwanza unatakiwa ujue kuwa sio kila anayesex na kuathirika naye atakuwa ameathirika.
Pili utambue kuwa endapo muathirika atakuwa anatumia dawa vizuri sio rahisi kuambukiza wengine.
Tatu unatakiwa umuone daktari kwa ushauri na vipimo. Poa kama itawezekana kuna dawa za dharura unaweza kupewa.