SWALI LETU

Pata jibu kamili kuhusu swali lako

Swali #322 15-02-2023 12:24:45
Question Icon

Nin umri wa miaka 25 nilikua na mpenzi nimeseks mara mbili ila alivoenda kupima aligundulika mwasilika je munanisaidiaje kwa hlo Mm nilikua sjajua kama kasha athirika

JIBU

Kwanza unatakiwa ujue kuwa sio kila anayesex na kuathirika naye atakuwa ameathirika. 

 

Pili utambue kuwa endapo muathirika atakuwa anatumia dawa vizuri sio rahisi kuambukiza wengine. 

 

Tatu unatakiwa umuone daktari kwa ushauri na vipimo. Poa kama itawezekana kuna dawa za dharura unaweza kupewa. 

Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.

MASWALI YANAYOFANANA

Angalia Maswali Zaidi