Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Je huu ugonjwa hutibiwa kwa mda gani Wa kuvimba mapumbu na maumivu makali
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 739
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Habari naomba unisaidie mm niliingia period trh 25 mwez wa kwanza nkamalza thr 31 nikasex na mume wang trh 11 sasa huu mwez wa pili cjaingia period nashindwa kuelewa naomba unisaidie
Kuna dawa gani ya asili ambayo mtu anaweza tumia akapona fangas vzr?
Kaka mm nimewahi kupata ajali nikabamiza kichwa nikawahi kupona lakini nilivy pona mdomo ukaanza kupasuka mwaka umefika tangu nipate ajali hiyo nilitokwa na damu nyingi sana nikapugua uzito
Samahani habar za leo nahisi maumivu ya hedhi karibu wiki saizi lakin sioni hedhi tumbo linajaa gesi je tatizo nin
Je overbleeding ni miongoni mwa dalili za HIV??
As-alaykum. Naomba list ya watu ambao mwanamke haruhusiwi kufanyanao miamala kama ya kugusana au kukaliana pamoja au kukaa pekeyao nk Au list ya watu anaoruhusiwa kugusana nao tu.