Swali #11
24-01-2023 17:39:29
<p>Nawashwa sana sehem za siri pia napata maumiz sana wakat wa tendo had napomalza kwenda haja nlpta kwenye page yenu ndo nmeona kwamba n dalili za fungus</p>
<p> </p>
<p>Hata mzunguko wangu haujulkan n wa sku ngp yan hata hazkai mpanglio mzur</p>
<p> </p>
<p>Na hapo nikimaliza period huwa naamin kwamba nabanwa na pad yn huwa nawashwa had natumiaga maji ya vuguvugu ndo kdg naacha kujkuna</p>
<p> </p>
Samahani
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 11