Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Je ulcers na vichomi vyaweza sababisha kutoona siku zako
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 580
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Nahisi nina tezi dume. Nitawapataje kuweza kupata msaada?
Za leo mpedwa mm na tatizo la kutoshika mmb
Habari mimi naomba kuuliza nikila chakula tumbo linachafuka, muda ule naanza kuharisha
Habari ni vitu gani mgonjwa wa madonda ya tumbo atumie ili kupunguza maumivu
Mm nimedunga sindano tarehe tano za mwezi wa kwanza n'a mpaka sasa sijaona siku zangu ila nabaki nasikia maumivu chini ya kitovu kwa mbali n'a nimefanya tendo la ndowa siku iliofuata tarehe 6 je naweza kupata mimba?
Sawa,mbegu zangu hutoka nyepesi sana baada ya tendo zinatoka,je Naweza kuwa na tatizo ? na je unazo dawa za kuboresha ?