Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Je ulcers na vichomi vyaweza sababisha kutoona siku zako
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 580
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Dokta mm tumbo langu laniuma mda mwengine nikimaliza kula ama nikimaliza kwenda haja kubwa nkikaa na njaa yani huniuma lote naomba sulution
Nanamiaka23 ninamtoto wa mwaka sasa na ilinianza hiii Hali nikiwa na miez minne mwaka Jana titi lilikua limejaa Sana maziwa na maumivu Hadi nikawa nashidwa kumnyonyesha mtoto baada ya maumivu kupungua ndo uvimbe nikawa naugusa mpaka sasaiv
sijaelewa, ni baada ya siku ngapi kumaliza hedhi ndo maji yanayo onyesha dalili za kubeba mimba yanaonekana?
Kwa mwenye ukimwi vipele ni lazima kutokea kwenye ulimi na mdomon kwa pamoja
Habar docta samahani eti kwa mfano mtu akiwa yupo kwenye dawa ya pep ya kuzuia maambukizi ya ukimwi ata ikitokea amejichoma tena kwenye mazingira atarishi pia inazuia kwasabu unakua ushameza dawa na zipo anaendelea kumeza.
Ulimi Ume meguka meguka Kam kuliwa liwa iv nini tatizo?