Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Nahisi kichefchef na period sijaingia miez3 mpk sass nachoka San tatiz nin
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 110
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Balango nayo ni dalili ya ukimwi
Kama mtu mzunguko wako wa kawaida .naukafanya tendo la ndoa ukiwa kwenye hedhi utapata mimba?
Mimi ninapata maumivu kama tumbo la hedhi ila ni upande wa kushoto ,na nimaumivu makali japo ninayapata mara chache?shida sijaifahamu
Mimi nimetafuta mtoto takiribani miaka 17, mmpa leo sijapata shida niliambia homon zipo chini, mayai hayapevuki yaani yamefika mwisho naweza pata matibabu mengine umri 45
Niliwahi kufanyiwa operation ya ectopic pregnancy na nikakatwa mrija 1 wa uzazi hapa nna mrija 1 tu wa uzazi ingawa nilibahatika kuzaa mtt1 kwa njia ya kawaida namshkuru Sana mungu nataman kuzaa Tena ila sishiki mimba sijui kwa nn
Mimi nilibeba mimbA mwez wa tisa ila mda huu naona majimaji na mtoto kachuka je nidariri za kujifungua au lha