Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Nahisi kichefchef na period sijaingia miez3 mpk sass nachoka San tatiz nin
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 110
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
miaka 23 mm ni mwanamme nina mwenzang ambae tulikutana na tukafanya tendo mara baada ya yeye kutoka edhi siku 2 tu je kuna possible ya yeye kuwa mjamzto
Je kupataaa naumivu mkali wakati wa kukojoa na pia wakati wa tendo hiloo ni tatizoo gani pls
Sawa,mbegu zangu hutoka nyepesi sana baada ya tendo zinatoka,je Naweza kuwa na tatizo ? na je unazo dawa za kuboresha ?
Habari ya asubuhi? Nimesoma dondoo yako. Swali langu.. Huwo ugonjwa wa kikohozi na mafua ikiwa yanasumbua kwa mda mrefu yapata miezi mi wili. Je, ni dalili moja wapo ya ugonjwa wa ukimwi?
Ninapenda kuuliza swali, kuhusu tiba ya macho, macho yanaona vimulimuli Kwa mbele, vikiisha hvyo vimlimli kichwan kinaanza kuuma Sana,, je nitumie Gani kutibu tatizo Hilo, au ushauri Gani Ili niweze kujikinga na tatizo kama hili
Swali lingine mbona mwanamke anaweza kuwa hamefunga bridi na umri mkubwa hata miaka 50 baadaye anabeba mimba hiyo hinakuaje