Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Mm ninafangas uken nimechubuka nitumie daw gan
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 504
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Dockta mm naumia tumbon nasikia maumivu makali misuli inavuta.pia nikila chakula nashiba upande mmoja nashindwa kujua shida nn
je? kunawa au kujifuta mbegu kwa mwanamke wakati wa tendo la ndoa kunaweza kuwa tatizo la kupata mimba.
Nilikuwa nauliza natokwa na uchafu warangi ya njano arafu mzito hili litakuwa nitatizogani
Mimi nimetafuta mtoto takiribani miaka 17, mmpa leo sijapata shida niliambia homon zipo chini, mayai hayapevuki yaani yamefika mwisho naweza pata matibabu mengine umri 45
Doctor habari, samahani Mie Kuna kitu kimeniahtua sijui ninttizo au maumbile sielew, kwenye uke wangu sehemu ya kinembe sijui ndo kinena Kuna kinyama kimetoka yaan Kama kimegawanyika katikati alafu upande mmoja wa kushoto ndo Kama umetoka kinyama Sasa sielew Nini nini
Vidonda vyatumbo hasa uhuma maeneogani, pemben mwatumbo, maeneo yakat kat yatumbo