Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Mm ninafangas uken nimechubuka nitumie daw gan
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 504
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Samahan, je mwanamke anaweza kuwa na dalili za mimba za awali kwa maumivu ya kiuno?
Ni kwamba tumbo linaniuma kwa Chini na Nina kojoa Mara kwa Mara lkn tulifany siku ya kwanz wakat natoka kwenye siku zangu je nayo ni dalili ya mimba au ni hofu ndy imenitawala
Nko na maumivu chini ya kitovu na nlipima jna bt kipimo kikasema sna mimba bt sjaona siku zangu na hua zinakam taree 3 myb mniambie shida ni nin
Je kuwashwa ukeni ni dalili za mimba
Ninawashwa sana sehemu za mapaja naweza tumia dawa ganii
Ahaaa sawaa........Ila samahani Mimi niliingia kwenye siku tar 17-1... Ila siku nlomaliza nimesahau ......nkakutana na mume Wang tar 30-1 na tar 3-2...sasa ni siku gan nlipata mimba na Ina muda gan had saiv