Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Na mtu ambae anatumia ARV kumuambukiza ambae Hana uwa aiwezekani
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 583
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Hiv uume kuwasha kwenye kichwa na kutoa majimaji nchia ya mkojo nidalili xaugonjwa gani
Nauliz ety ukifanya tendo siku ya kwanz ya siku zako kunauwezekan kuwa unawez pata mimba
Kinywa changu kina Matatizo mdomo kutoka alufu Na ukipiga mshwaki alafu inahamia puani sijuwiiii chanzo. Ni nini?
Nimenunua hili tunda zaituni kwanza,nimelionja kwamarayakwanza tangu nizaliwe sijawai kuila baada ya hapo nimegoogle nakwangalia faida zake Nahitaji kujua mengi kuhusu hili tunda
Kuna uwezekano wa mtu kubeba mimba ilihali anatumia (majila)sindano za kuzuia kupata ujauzito
Mm napata maumivu ya tumbo upande wakushoto chini