Swali #154
02-02-2023 08:07:16
<p>Samahani tarehe 11 mwenz 12 nili toka na damu nyeusi sana na damu mabonge mabonge zili toka siku tatu zikakata nikaja tena kutoka na damu tarehe 8 ya mwenz wa kwanza zili toka siku tano</p>
<p> </p>
<p>Sasa Jana tena damu hime aza kutoka tena tatizo nini naomba nisaidie na nina taka mtoto</p>
Samahani
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 154