Pata jibu kamili kuhusu swali lako
kama mwanaume amekukojolea na ana virus inaweza kuvipata?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 1241
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Nina maumivu tumbo la chini ya kuelekea upande wa kushoto ,maumivu tumbo la juu karibu na kifua ,maumivu pingili za mgongo na kiuno pia mbavu jinsi yangu ni Ke miaka 44
Me nilitoa mimba ikatoka ilivotoka baada ya mwezi mumoja nikawa cijaingia periodi nikaenda kukutana na mwenza wangu tulipomaliza kufanya nikameza p2 je mimba itatungwa Tena upya au haitatungwa
kusinya kwa korodani moja pamoja na kuwa na maumivu nako tezi dume?
Je nivizur kutumia dawa za kuzuia kutapika?
Samahan naomba kuuliza mimi huwa kabla ya hedhi napata maumivu ya tumbo maumivu hayo yanaweza kuwa ya siku moja Ila siku ambayo hedhi itatoka napata maumivu makali mno na maumivu hayo yatadumu Hadi hedhi ikate na inapelekea mguu wa kushoto kuwa kama unakufa gannzi.naomba nisaidie ni nini hiki?
dr nilipita saloon za kisasa hizi bahat mbaya nikashawishika ujana huu bc dada akanifanyia massage Yani handjob au kufanyish punyeto kwa kunishk shk sehem zang nyet ,,naulz km aiwez kuwa risk kw maambukiz maan zmepit week 3 nikapat mafua week nzima,