Pata jibu kamili kuhusu swali lako
kama mwanaume amekukojolea na ana virus inaweza kuvipata?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 1241
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Habari ni vitu gani mgonjwa wa madonda ya tumbo atumie ili kupunguza maumivu
Hello napenda kuuliza dalili za mwishoni kabisa za mama mjamzito kujifingua
Habari, ninauauzito wa wiki3 lakini napatwa na maumivumakali chini ya tumbo nakiuno pia nikichuchumaa kupata ajandogo natokwa damu, nikijilaza aitoki naomba ushauri nifanyeje mwanangu akuesalam!
Naomba ushauri nina ndugu yangu ana presha huwa inapanda hadi 190 je nimsaidia je
Madhara ya kufanya mapenzi kinyume na maumbile ni yapi
Habar doctor mimi ninatumia dawa za pressure 2 years sasa lakn 2023 hii moyo unanienda mbio natembea kidogo tu lakn moyo unanienda ressi sana had nipumzkeee ndo nakaa sawa hata kushuka kitandan kwenda choon naskia hivyo nawa kma mtu aliyekimbia sana had nipumzke ndo nakuwa sawa naomba unisaidie