Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Hi,Kwa nini chuchu zangu ziko na uchungu Na zinatoka damu
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 898
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
ona Dokta tumbo linajaa halafu naona kizungu zungu halafu nahisi kama kunakitu kinatembea tumboni lakini nimezuia kublid. kama mwezi mmoja t je nikitu gani
Faida ya kutumia matunda kiafya ni zipi
Mm naitwa mama Sam nikishamaliza kufanya tendo napata maumivu ya tumbo mpk kwenye mkundu Yani na kuwa hata kutembea au kukaa vizuri siwezi
Maji maji meupe ukeni naomba kujua chanzo chake na tiba yake kama mgonjwa anadalili ya fangasi.
Je ninaweza kuzuia maambukizi siku moja baada ya tendo na alieathirika??
Naomba kuuliza mwezi wa 2 trh 14 nili sex na mtu mwenye ukimwi trh 15 nikaenda hospital nikapewa pepu nimetumia pepu na Leo ni siku ya mwisho nimalize dozi ila toka juzi Kuna dalili zinajitokeza Kama homa kichwa kuuma maumivu kwenye Koo samahani naweza nikawa nimeasilika