Pata jibu kamili kuhusu swali lako
kutokwa na uteute mweupe kwa mwanaume haiwezi kuwa dalili ya UTI
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 282
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Assalamualaykum naomba kupata elimu je mke wa Nabii Nuhu aliitwa nani?
Habar katika dalili zote nilizosoma ninazokumbana nazo mm ni kujisaidia kinyesi laini ,kujamba mara kwa mara ,kuhisi kwenda haja kubwa ukienda unajamba tu, kichwa kuuma ,na paja kuuma mm nitakuwa na shida Gani maana napata maumivu tumboni upande wa kulia
Je mtu ambae haswali tu lakin hamshirikshi Allah je hukumuyake
Habari doctor nilikua nataka nifahamu juu ya tatizo nililo nalo
Tatizo lenyew ni katika pembezoni mwa uume Wang kumepauka , pia kunatok vipere pia huwa kunawasha
Samahani naomba kuuliza nimeingia pireod mwezi wa kwanza na mpaka sahivi sijaingia na mimi ni mama nae nyonyesha je naweza kuwa na mimba au vip
Je mtu anayewaudumia waathirika wa vvu lazma naye awe ameathirika?