Pata jibu kamili kuhusu swali lako
kutokwa na uteute mweupe kwa mwanaume haiwezi kuwa dalili ya UTI
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 282
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Mimi nataka dawa za kiungulia alafu uniambie na vyakula vya kula...uenda nakosea kwenye vyakula ninavyokula
habari .mm sasa ninaishi na mke mwenye ukwimwi mwanzo alinificha hakuniambia je sas nilipogundua nilipima sikuwa nao je kuna namn ya kuishi na mtu wa aina hiyo nikawa salama
Ukiwa unanyonyesha utajua aje uko mjamzito
naombaa kuuliza swali minyoo inapokuwa mingi zaidi haiwezi kuhusika na upungufu wa nguvu za kiume?
Habari Mtaalam, Mimi ni mwanamke ambaye tumetengana na Mumewangu mwaka mzima.Wiki hii alumina nyumbani na tukashiriki tendon la ndoa. Masaa 5 baada ya kushiriki mwili ULIKUWA MCHOVU hadi nikaanza kulala Orsini hadi sasa ni siku ya tatu mwili ni MCHOVU siwezi Tanya chochote.
Je baada ya kugundulika na malaria ,ukianza kutumia dozi hukiwa unaharisha kunakoma baada ya muda gani?