Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Je dalili ya tumbo kunguruma ni dalili za mimba
Huwenda ila sio lazima iwe mimba inaweza pia ikawa ni machafuko wa tumbo, ama mabadiliko ya homoni, ama dalili za kuingia period
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Mwanamke atakapo tokwa na mimba anatakiwa kukaa mda gani bila kukutana na Mme wake kimwili
Dockta mm naumia tumbon nasikia maumivu makali misuli inavuta.pia nikila chakula nashiba upande mmoja nashindwa kujua shida nn
Sababu ya kutapikika mwanamke akiwa period
Mtuakipata ukimwi atakuwa anajikiaje Yani kiafya kwasikuhio yakwanza
Habariii ninamchumba wangu tatizo lake mbegu zake huwa ni nyepesii sana kama maji shida huwa nin ety
Chanzo cha presha Ni nini