Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Je dalili ya tumbo kunguruma ni dalili za mimba
Huwenda ila sio lazima iwe mimba inaweza pia ikawa ni machafuko wa tumbo, ama mabadiliko ya homoni, ama dalili za kuingia period
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Dokta mm tumbo langu laniuma mda mwengine nikimaliza kula ama nikimaliza kwenda haja kubwa nkikaa na njaa yani huniuma lote naomba sulution
Hey!! Swali lang ni je mtu akiw na damu nyingi mwilin mwakee akitakaa kupunguz bila kutumia vidongee anashauriwa kufanya nn?
MWANAMKE ANARUHUSIWA KUFANYA MAPENZI MWISHO MIEZ MINGAPI COZ BAADHI YA WATU HUSEMA UKIFANYA MPAKA MWISHO MTOTO HUZALIWA MCHAFU KICHWANI
Assalam.alykum,sababu za mam aliejifunguwa kuvimba kwa uso
vifaa vinavyotumika kumsafisha mwanamke sehemu za siri
Mi naitaji ushauli kuhus dalili za mwanzo kuma ya kuota tezi kweny shing au kwapan hizi tez zipoj zipoje