Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Je dalili ya tumbo kunguruma ni dalili za mimba
Huwenda ila sio lazima iwe mimba inaweza pia ikawa ni machafuko wa tumbo, ama mabadiliko ya homoni, ama dalili za kuingia period
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Kipimo cha damu chenyewe kinatoa results kwa mimba ya mda gan
Mke wangu anatokwa na vitu vyeuope ukeni na me nipo mbali nae Sana nahitaji msaada wenu
Nina umri wa miaka 21 msichana naomb uxhaur nilitoka period siku ya 5 nikakaa siku mbili nikafanya mapenz je naeza pata miba
Asante kwa kutuerimisha na nikwa je mimba ya wiki moja unaweza ukapima na ikajulikana?
Ni njia zipi za kuboresha mbengu za kiume ili mwanamke aweze kupata mimba??
Habari! Mimi shida yangu ni milija inayotoka kwenye korodani inajaa na kuweka vinundununda.