Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Je dalili ya tumbo kunguruma ni dalili za mimba
Huwenda ila sio lazima iwe mimba inaweza pia ikawa ni machafuko wa tumbo, ama mabadiliko ya homoni, ama dalili za kuingia period
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Hello nina swali? Na kwa mwanaume kuumwa na tumbo na kukosa hamu ya kula chakula baada ya tendo nini tatizo? Vyakula vya mafuta harufu yake inakufanya unatapika.
Je maji kwenye ovari ni dalili ya kukaribia kwa hedhi?
Habar,ivi naeza kupata mimba ikiwa natumia uzazi wa mpango njia ya kitanzi cha miaka 10?
Samahani muudumu naomba unielekeze kuhusu hili swala nilialibikiwa mimba ya mwezi mmoja na nilitokwa na damu ndan ya wikiii sita na nimekaa wiki mbili damu zinatoka tena ivii ni tatizooo aul
Na pia baada ya damuu kukata nilitokwa na ute ute ambao ulikuwa unaniwasha
Je mwanamke anaweza pitiliza sku zake za makadilio kwa kawaida ngapi?
Nimesoma habari Google kuhusu ukimwi je mtu akipata maambukizi Leo kwenye kipimo cha HIV huanza kuonekana kwa mdagani