Pata jibu kamili kuhusu swali lako
sorry nitajuaje kama nyoka kaning'ata mara tu baada ya kumkanyaga
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 41
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Mkuu habari za majukum nilikua nasoma habari juu ya kiungulia na kimenisumbua sana leo siku ya sita nahitaji tiba yake na uniambie kinasababishwa na Nini
Moyo kuuma na kutoka jasho jingi nn shida
Ivi nishamaliza kuswali faradhi je naweza swali swalayoyote yasunna?
Mm ninamavu ya tumbo upande wa kushoto maumivu makali sana nimefanya exry amna shida extsaond amna kitu sijui shida nn
Mm ni binti mwenye miaka 20 mara ya mwisho kupata hedhi ilikuwa tereh 5/2 ila mpka leo tareh 8 cjaon chcht na leo asubuh nmepima upt ni negative naomba ushaur jaman cjui nifany nn
Mm naumwa na tumbo side ya left chini kabisa Yani kunadundadunda mpka sometimes nasikia maumivu halafu nakojoa kila mara