Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Je p2 inaweza kushindwa kufanya kazi?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 1271
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Habari samahani nilikua na swali mimi na mwenzi wangu kila tukifanya tendo baada ya kumwagia mbegu ndani na kuchomoa uume mbegu utoka nje nilikua nauliza sababu nini na je mbegu zinapo toka nje kunauwezekano wa kubeba mimba
mama yangu anasumbuliwa sana na vidonda kwa mda mrefu Sasa takribani mwaka sasa na hajapata nafuu mpaka imefika wakati hawezi kutembea na anazimia sasa nifanyeje
Ninamaswal kuhusu njia inayowez kutumika kutoa mimba ya miezi Saba na gharama zake
Mim naumia tumbon nasikia maumivu makali misuli inavuta.pia nikila chakula nashiba upande mmoja nashindwa kujua shida nn
Mimi ni mjazito siku zangu zimekaribia za kujifungua na Niko na shida za saa nyengine ya pumzi shida ni nini
Kaka mm na mpenz ambay nilishirkinae tendo mara kadhaa ya wik 1 kabl ya kuingia period na baada na baada ya kuingia pid nikashirk nae tena sik 1 baada ya kutoka pid baada ya apo alitokwa na dam kdiog tu ikakata asaiv anadai ana kizunguzung kuna wakat anaona giza pia kiuno na tumbo linamuuma kias