Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Je p2 inaweza kushindwa kufanya kazi?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 1271
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Samahani docta ukitumia p2 cku ambayo nimefanya mapenzi alafu cku ya tatu pia nikafanya mapenzi na nikasahau kumeza p2 je inaweza kuleta shida
Hv kwa mimba changa ya mwez 1 homa za uck na homa na kuishiwa nguvu na suluhisho lake lipi
Kipimo cha damu chenyewe kinatoa results kwa mimba ya mda gan
Jee mwanamke anayewashwa kwenye ukee.na yuko wiki ya 37 ni dalili za kujifungua?
Me sahv nina miezi miwili na week 2 toka nijifunguwe mwishonib mwa mwez wa tatu nilikutan kimwil na mume wangu nilimeza kun dawa nilipew ya uzaz wa mpengo ni nyeupe niliambiw nimeze kil cku nilimeza zile cku tu nilizokutan na mume wangu tarh 10 mwez huu niliingia period na ilitoka kwa cku mmoja tu na sijasex tena toka cku nilivyoblleed je kuna uwezekano wa kuwa na mimba???
Samahan mi naomba unifundishe ukisha jifungua unaoga je?