Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Nina mimba sasa imefikisha miez 9 na mtoto anachezea upande mmja tu iyo nini
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 116
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Nimesoma habari Google kuhusu ukimwi je mtu akipata maambukizi Leo kwenye kipimo cha HIV huanza kuonekana kwa mdagani
Je kuwa namabaka mekund kwenye mdomo ni dalili mojawapo ya ukimwi
Sijaona siku Zang za mzunguko mwez wa 3 sas je nitumie virutubisho gan ili kuwa sawa??
Je dalili ya tumbo kunguruma ni dalili za mimba
Na vipi inawezekana mwanamke kuingia kwenye siku zake bila ku bleed damu? Yaani asione dalili yoyote?
Mimi swali langu kuu ni mapigo ya moyoo wangu yanaendaa kasii kwel shidaa itakuwa ni nin
Na piah mdaa huo huo mwili huishaa nguvuu na kizungu zunguu