Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Nina mimba sasa imefikisha miez 9 na mtoto anachezea upande mmja tu iyo nini
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 116
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Habar jee ukiwa mjamzito namimba ishafika wiki 37 unaweza kuzaa na mtoto akapona na ukijihis sehemu ya uke inajaa nidalili gn
swali langu je ni kiwango gani cha damu kwa binadam ikifika ngapi mtu anakuwa na dalili za upungufu wa damu
Mimi nna tatizo la Ngozi kuwasha na nnapojikuna mahali panapo washa Panatoka uvimbe mdogo mdgo Kisha baada ya Muda mfupi kupotea Nazo Ni dalili za minyoo!?
Niliingia hedhi kwa mwez mara mbili ndipo nilipenda kupiga utra sounds nikapewa dawa za wk 2 akasema hayo maji yanasababishwa na PID sasa dawa zimeisha leo bado anasema mayai yapo vzr ila kuna maji
Na hajanipa dawa kasema nikae baada ya wk 3 niende tena
Alafu nilitoa sindano ya miaka tano last week na naitaji mimba nitakaa for how long diyo nipate mimba
ni sababu Gani wengine hawapat mimbaa na inasababishw na nini