Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Kufany kwa vijibu ambavo huwasha katika eneo la mbele la uume ni tatizo gani
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 129
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Bibi yangu ako na ujauzito na mtoto amenyamaza hachezi pia heart beat yake hatuisikii
Hello samahan iv tezi dume inaweza sababishwa na ngono zembe
Mm Nipo znzbr ila Nina ttz Nilienda spitali kuchangia damu wakapima saizi ya damu yngu ni 15 nikatolewa damu ila baad ya kutolewa damu Kuna Hali imenijia nahisi mwili unakua ni mchovu sana na unakua na unaunguza sana na unakua unauma sna
habari ninatatizo la fangas kwenye pachu za mapaja nahitaji matibabu kwenu napataje huduma?
Habar Dr. Mimi ninaujauzto wa wiki16 ndo wa kwanza lkn nahis kichezo tumboni unaweza nijuza hili
Vidonda vyatumbo hasa uhuma maeneogani, pemben mwatumbo, maeneo yakat kat yatumbo