Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Kufany kwa vijibu ambavo huwasha katika eneo la mbele la uume ni tatizo gani
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 129
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Habar naomba kuuliza kuharisha kwa zaid ya wiki mbili lakini kwa muda maalum ni dalili ya ugonjwa gani
Hllo hamjambo mmi natumia dawa za prep na nimeanza kuzitumia jana 00:00 lkn leo sku ya pili nimelala baada ya kuamka nimepitisha dakika nikanywa 00:58 kesho nafaa ninywe muda gani tafadhali maana nimechelewa kwa dakika tafadhali nishauri
Je kama unaumwa joint za miguu, kiuno na unakojoa mara kwa mara na kichwa kuum sana utaweza kupona
namna ya kusafisha kizazi kwa mwanamke
jinsi gani ya kutumia hizo dawa za fangasi wa mdomoni na ulimi
Samahn mm nko naujauzito lkn vyakula vyote ckuli yaan nkikula natapik hata matunda nayatapik nifany nn ati