Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Nauliza ni dalilizipi mwanaume znaweza kumfanya ashindwe kutunga mimba
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 524
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Naomba kuuliza kuhusu watu wanaofanya mapenzi kwa mdomo, means kunyonya sehem za Siri,1.wale bacteria au fangus wanaweza kusababisha kansa ya Koo? 2.kama ni ndio utajuaje kama umepata saratani kwa muda huo?3. Kama wapenzi walikua wanFanya hivyo either Mara 3 au 4 alaf wakaacha madhara gan yatatokea? 5. Hatua zipi zichukuliwe Kama Kuna magonjwa yatatokea?
Dawa inayo zuia chango linalo toa mimba ni nini?
Je mwanamke anaweza pitiliza sku zake za makadilio kwa kawaida ngapi?
Nimeishi na mwenye virusi vya ukimwi miaka minne tumeenda kupima yeye anamaambukizi ya virusi vya ukimwi afu Mimi Sina na nimepima mala mbili
Habari mm ni mjamzito na nina wiki mbili nazihisi hizo dalili zote kumi ulizoolozesha ila pia nina wiki moja maji yanatoka ukeni je ni sawa na leo ndo cku yangu ya makadiliyo ya kujigungua ila nimemka Sina dalili yoyote ya uchungu napata na mawazo naomba nisaide nifanye nn
Je kwa mwanaume alie mpa mimba mwanamke ana kua kwenye hali gan ??