Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Nataka kujua dawa na matibabu ya gonoria
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 1146
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Doctor napatwa na maumivuu upande wa kulia na hedhi inatoka matone tu
Natak kujua vifaa vyote vinavyo tumika wakat wa kusafisha kutoa sample kweny uke
Ni njia gani bora ya kuzuia magonjwa ya zinaa?
Alafu nilitoa sindano ya miaka tano last week na naitaji mimba nitakaa for how long diyo nipate mimba
Asante. Mm naomba niulize swali sijapitiliza hezi lkn mwili wangu nauona upo tofauti sana nipo very hot haswa nyakati za usi na mchana nikiwa kwenye shuri zangu huwa naishiwa nguvu nakuwa kama mtu nile lala njaa pia napata mate km ya Mt mwenye homa mepesi na maziwa yanauma pia lkn nilipima na utp majibu sina mimba na siku nilizo bakiza ni siku 6 tu niingie hezi.
Swali langu kwako jee? Inwezekana kuwa nina mimba nimewahi kupima au
Asante sana kwa maelekezo mazuri ntaendelea kuwafatilia nmejua Mambo mengi sana nami nkiwa mhanga wa tatizo hili