Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Nataka kujua dawa na matibabu ya gonoria
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 1146
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Majibu ya UPT yameonesha Nina ujauzito..ila utra sound inaonekana mji wa mimba ndani yake hamna mtt nashindwa kuelewa kiufupi nimechanganyikiwa..Naomba msaada wa hili tatizo
Assalamu Alaikum me natak kujua mpangilio wa kutia udhu
nimetembea na mtu mwenye ukimwi zaidi ya mara 15,,, afu nigundua karbuni ,,,nishatembea nae,, mwishoe nimejikuta kunavipele yamenipata vidogovidogo vimejikusanya kama vile niugua na moto vinatoa maji je inaweza kuwa ndo dalili ya kuwa nimeambukizwa
Joto la mwili limeongezeka na mapigo ya moyo pia je ni mimba?
nasumbuliwa na chuchu za maziwa kuuma wiki ya pili na mgongo kuuma hizi ni dalili za mimba
Nasikia kukosa nguvu na. Mikono kuishiwa nguvu pia vidole kufa ganzi naema pia kwa nguvu sana