Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Nataka kujua dawa na matibabu ya gonoria
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 1146
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Je ukifanya tendo la ndoa siku ya Kwanza kutoka kwenye siku zako, Unawez kupata mimba
Swali langu ni nimepata changamoto ya jicho. Nilijipiga na mnati kwenye jicho na jicho limekuwa jekundu
Samahn mm nko naujauzito lkn vyakula vyote ckuli yaan nkikula natapik hata matunda nayatapik nifany nn ati
ivii kika waida mwanamke ndani ya siku tatu dalili gan za mwanzo zinaeza kuwa ni kiashirio cha kuwa anamimba mkuu
mimi nina minyoo na wasikia kabisa wakiwa wana tembea nyuma nime tumia dawa ya Albendazole lakini bado napata dalili za minyoo
Habari samahani nilikua na swali mimi na mwenzi wangu kila tukifanya tendo baada ya kumwagia mbegu ndani na kuchomoa uume mbegu utoka nje nilikua nauliza sababu nini na je mbegu zinapo toka nje kunauwezekano wa kubeba mimba