Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Ugonjwa wa kisukari unaweza kutibika?
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Mimi ninapata maumivu kama tumbo la hedhi ila ni upande wa kushoto ,na nimaumivu makali japo ninayapata mara chache?shida sijaifahamu
mama yangu anasumbuliwa sana na vidonda kwa mda mrefu Sasa takribani mwaka sasa na hajapata nafuu mpaka imefika wakati hawezi kutembea na anazimia sasa nifanyeje
Je Kama unaskia muwasho tu sehm za sir nayenyew n dalili za ukwimw
Dem akianza Day one mpka day five akifnya sex anashika mimba?
Je unawezaa kutokaaa maji maji meupee na kiuno kumaa nakuachiaa ni dalili za kujifungu pia ama mtoto anageukaa tu
Nina tatizo LA kusahau mm niwakiume