Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Ugonjwa wa kisukari unaweza kutibika?
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Nimeishuku Sana yani nahisi km mimba ju Ni kitu inanigonga gonga na nikienda kuitoa kesho ntachukua mda gani kupona
habari mimi apa nahisi na ujauzito lakin sina uhakika naomba ushauli wenu
Je mtu anayewaudumia waathirika wa vvu lazma naye awe ameathirika?
Kujaa kwa mate mdomoni kunaxababixhwa na nn Na kujaa kwa ges 2mboni ni dalili ya nin
Leo Ni siku ya pili nimeamka kiuno kinauma he Ni kawaida kwa mjamzito kiuno kuuma au na lenyewe Ni tatizo
Ukiwa na mimba miez nane na wiki moja au mbil unaweza kujifungua mtoto akiw na kilo ngapi?