Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Ugonjwa wa kisukari unaweza kutibika?
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Dokta tatizo la kuwa na maumavu juu ya kitovu baadae ya kumaliza mwezi amejifungua Nini chanzo?
Je presha usababisha kuko joa mara kwa mara
Naomba niulize mtu anaweza kubeba Mimba akifanya mapenzi akiwa period
Na mtu ambae anatumia ARV kumuambukiza ambae Hana uwa aiwezekani
Na pia mtu mwenye ujauzito uke wake waga ukoje unakuwaga mkavu au unatoka utete Kila siku
Mm naumwa kwenye upande wakushoto juu tumbo linako azia