Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Je fangas Usababisha mtu ukiwa period kwenda mda mrefu
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 183
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Nifanyeje ili mimba ikue haraka
Asante mimi ningependa kuuliza swali kwamba nimeshiriki tendo la ndoa cku ya 12 adi siku ya 16 but mabadiliko ninayoyaona ni tumbo kujaa ges, kuchoka bila sababu, na tumbo la chini kuniuma kwa sana na leo ni siku ya 11 yani tumbo linavuta mpaka basi
Ningependa kujua iyo nayo ni dalili ya mimba changa kwangu ama
Siku za kupata p zimesha pita huwa napata tarehe 26 ila adi ss sija pata na tumbo lina niumaa km la p vle ttz nn ila dam haitoki
Nnajisikia tumbo kwa chini maumivi upande wa kushoto mda mwingine kama gumu hvi maumivi yanaenda hadi korodani upande wa kushoto na mshipa ule unaoshikilia korodani ya kushoto unaumaa hadi ngozi ya korodani inakuwa nyepesi hadi inanata kwenye mapaja
Niko na vitu kama upele kwa makwapa je shida inaeza kua nini
Hello Mimi nasumbuliwa Kila nikimaliza tendo uume unauma sana