Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Je fangas Usababisha mtu ukiwa period kwenda mda mrefu
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 183
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Mimi mpenzi wangu anatoka ute mweupe ukeni je tatizo ninini
Kuna mtu anatumia miwani na bado macho yanamuuma,je atumie dawa gani ,au afanye nini ili kuweza kuondoa tatizo hilo?
Mm na mwashoo wa macho kila siku piaa yanaonekan ni dhaif San jee! Ni dalili ya nn??
Hlw nimesoma nakala yenu nasumbuliwa na tumbo upande wa kushoto kuna muta yanakuja na kupotea
Habari za muda huu. Naomba kuuliza. Mimi nasumbuliwa na tumbo Tarehe za Hedhi zinapishana mpaka miezi yapishana mwezi naona mwezi sioni nanikiona napata maumivu makali sana pia ujauzito aupatikani na sijaweka kinga yapata miaka miwili sasa lakini amna ujauzito. Ni ilo tu mkuu
Mm naisi kizunguzungu nasaidiwaje japo nimefanya udma ya kwanza na aijanisaidia