Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Je fangas Usababisha mtu ukiwa period kwenda mda mrefu
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 183
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Je hizo dalili za HIV za mwanzo zinaweza ziconekan mwakaa mzimaa tangia ile cku ulio toka kubamiana na mtuu
je inaweza kutokezea tumbo kuja juu upande mmoja t halafu kurudi ukawaida ndani ya wiki 1 vip inaweza kutokea au huwa ges yatumbo t
Abar jaman kunaswali nataka kuuliza eti kama mjamzito yupo mwishoni dalili jingine inaweza ikawa anatoa damu ile ya mwanzo ya kwenye siku ile ya damu ya mzee kama nyeusi ivi naomba jib jaman
Smhn n binti mwenye miaka 21 nna tatizo la kutokwa na maji ukeni kama maji ya kawaida tu na n mengi kias kwamba sometym yanaweza vuja had yakanloanisha nguo ya nje na ndani pia, hayana harufu yoyote, na pia sometym mengine yanakuw ya njano, asa hili tatizo gan docta maan nna hofu sn
Mm na mwashoo wa macho kila siku piaa yanaonekan ni dhaif San jee! Ni dalili ya nn??
Habari nina tatizo la kiungulia