Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Je fangas Usababisha mtu ukiwa period kwenda mda mrefu
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 183
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Samahani mimi ni msichana wa umri miaka 21 mmoja wapo ninae sumbuliwa na maumivu hayo makali chini ya kitovu upande wa kushoto na wakati mwingine hupelekea maumivu hayo kwenye mguu upande huo nilikuwa na hitaji maelekezo zaidi kuhusu maumivu hayo na jinsi ya kuyatibia
Je,uteute uliochanganyika na damu kwa mama mjamzito ambaye cku za kujifungua hiyo ni moja ya dalili ya kujifungua au ni tatzo?
Ni njia zipi za kuboresha mbengu za kiume ili mwanamke aweze kupata mimba??
Habari mimi nahitaji msaada mama yangu anasumbuliwa natatizo la presha ya kupanda ametumia dawa mwaka wa tatu sasa lakini bado tatizo halipungui
Mimi ninachangamoto ya mauvi chini ya tumbo kwa kushoto pia napata maumivu kwenye mbavu upande wakushoto
Nataman kujua vipi kipimo cha ukimwi kinaweza kusoma majibu kwa miez miwili na kuonekana?