Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Assalamu Alaikum me natak kujua mpangilio wa kutia udhu
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 14
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Naweza kua na upunguf wa nguv za kiume na nikshilik naenda muda mlef mpak mwenzangu anasema anechok wakat mm sijajua haj yang?
Nisaidie how drug inafanya kazii mwilini na inapita sehemu gani na sehemu ganii na kwanini mtu mwenye peptic ulcer hatumii dawa hizi Adernal hormone ambazo ni hydrocortisone, prednisoloneand dexamethasone
Kupasuwa kwaviungo inasababishwa na nn
Tatizo langu, ni ku kuwa na mawazo sana,kukosa furaha na kukosa umakini hata ninaooelekezwa jambo. Nifanye nni kuepuka haya?
Je ukimwi unaambukizwa kwakufanya mapenzi bila kingà làkini kàtika màhusiaño ayi aujawai patikana mchubuko
Naomba kuuliza me niliweza kulala na mwanamke baada ya wiki tatu nikaambiwa kuwa amethilika nilipoenda kupima nakakutwa sina maambukizi na mwezi wa tatu tena nikapima sikukutwa na maambukizi swali langu je naweza kuwa na maambukizi ama sikupata maradhi siku nilipo lala nae??