Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Assalamu Alaikum me natak kujua mpangilio wa kutia udhu
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 14
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
samahan et, kutokwa na upele (ukurutu) nayo nimojawapo ya ugonjwa wa ukimwi
Habari kwa mtu Ambae Ametumia dawa za ARV vizuri na baada ya kupima ikaonekana wadudu wa HIV hawaonekani Tena kwenye kipimo Anaweza kuacha kutimia dawa za ARV?
Da dokta usinichoke nikutaka kujuwa tu pia ninauliza kwanini tunapoenda kupima hospitali twende miezi 3 wakati kipimo uonyesha kuanzia wiki 3
Hlw nimesoma nakala yenu nasumbuliwa na tumbo upande wa kushoto kuna muta yanakuja na kupotea
Ivi mtu mwenye ukimwi anaweza akatokwa na vidonda vya homa ya usiku?? Vinavytoka pembeni ya mdomo kama vipele
Je ulcers na vichomi vyaweza sababisha kutoona siku zako