Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Assalamu Alaikum me natak kujua mpangilio wa kutia udhu
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 14
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Je inawezena kuwa mtoto amekufia Dani ya tumbo au nikuchoka tu amelala Kwa sababu Niko hospital na wemetafuta heart 💖 beat lakini hawasikii akipumua au kucheza
Je p2 inaweza kushindwa kufanya kazi?
Mimi nimefnya mpzi baada ya siku tano nimeona dalili za mimb ila baada ya wiki moja nimepima sina mimb ila nipo na dalili hadi sasa inakuwa nini
Balango nayo ni dalili ya ukimwi
Mm ni binti mwenye miaka 20 mara ya mwisho kupata hedhi ilikuwa tereh 5/2 ila mpka leo tareh 8 cjaon chcht na leo asubuh nmepima upt ni negative naomba ushaur jaman cjui nifany nn
Nlikuwa nasikia uchungu side ya left 4one month then hio uchungu ikahama ikakam pande ya right,sasa imeama tena iko hapa chini kutoka jana iko hapa chini uchungu mwingi sana,nn inawza kuwa na shida, please help me