Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Tumbo linapata gas nalinajaa sana. Kunawakati nahisi vitu vinatembea timboni
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 463
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Habar naomba kuuliza kuharisha kwa zaid ya wiki mbili lakini kwa muda maalum ni dalili ya ugonjwa gani
Juzi kuna bonge ya damu ilitoka kubwa kiasi fulan hadi nikaogopa ndo maana nikiwa natafuta msaada
Hivi kw mfano tupu mbili zikakutana ya kike na yakiume lkn ile ya kiume ikawa haijazama ndani yaani namaanisha imeekeshwa tu kweny uke bila kuzama ndani ule uume je panauwezekano wa kupata mimba
Mm ni mwanaume mwenye umri wa miaka 23 naish na mwanamke mwenye umri wa kubeba mimba lakn mpka sasa atuna mtoto na tunaitaj mtoto
Hi nina tatizo la kuhabikiwa mimba je uenda Nina tatizo la homoni kama ninatatizo hilo nahitaji kupata matibabu yapi? Naomba nijibu tafazali
Nlikuwa nasikia uchungu side ya left 4one month then hio uchungu ikahama ikakam pande ya right,sasa imeama tena iko hapa chini kutoka jana iko hapa chini uchungu mwingi sana,nn inawza kuwa na shida, please help me