Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Habari nina tatizo la kiungulia
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 280
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 28.nina tatizo la kutokwa na maji mengi ukeni muda ninapojamiiana hasa pale ninapokuwa nafika kileleni.yale maji Huwa yananikosesha Raha sana maana mpaka pale nilipolala panaloana .je tatizo hili husababishwa na Nini?
Vipi boga kuhusiana na mgonjwa was sukari
Dalili za ugonjwa wa kisukari ni zipi?
Habari, nauliza kama ukiwa unakojoa mkojo mchanganyiko na partical nyeupe nini shida? Hii shida ilinipata nikaenda hospital wakanipa cefxine ikaisha hii Hali imerudi tena nimechoma ceftriaxone inj Bado ipo . Ni nini shida?
Je, unaweza kupata mimba ukiwa haupo kwenye cku za hatari?
Je ukosefu wa vitamin E unaweza kusababisha nywele kunyofoka,kizungu zungu,pamoja na kuzubaa yaani kutokua mchangamfu