Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Habari nina tatizo la kiungulia
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 280
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Habar dogta nimeskulu sana kwa ushauri wako naelimu.tosha ila kuna swali nipenda kujiuliza kila siku kunawatu malanyingi wakina mama wanapenda kuwanaipele kwenye mkono zilenidalili za ukimwi au vinatokana na mazingira?
Habar jee ukiwa mjamzito namimba ishafika wiki 37 unaweza kuzaa na mtoto akapona na ukijihis sehemu ya uke inajaa nidalili gn
Je kupataaa naumivu mkali wakati wa kukojoa na pia wakati wa tendo hiloo ni tatizoo gani pls
Kaka mm na mpenz ambay nilishirkinae tendo mara kadhaa ya wik 1 kabl ya kuingia period na baada na baada ya kuingia pid nikashirk nae tena sik 1 baada ya kutoka pid baada ya apo alitokwa na dam kdiog tu ikakata asaiv anadai ana kizunguzung kuna wakat anaona giza pia kiuno na tumbo linamuuma kias
Ninamiaka 23 ni mwanamke tatizo langu ni kwamba tumbo linaniuma sana yani kama kunakitu kinanikwangua vile tumbon kunamda linaacha lakinii nikila chakula linaniuma sana yanaa halafu linatulia linakuwa linauma kwa mbalii
Mafua yanayoashilia mtu kuwa ana vvu uchukua muda gn kupona?