Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Habari nina tatizo la kiungulia
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 280
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Je kama utete unao Toka ukeni unakuwa na njano njano tatizo nn
Samahan mi nna vidonda vya tumbo nimesha tumia dawa ila nikipata nafuu kwa mda vinarudi tena kama mwanzo
Mtu mwenye vido ndavya tumbo vyakula gani apaswi kula
Sorry lkn mm sikuyahatari ilii kuwa tarehe 15 lkn nikalala na mwanaume tarehe 16 lakini mwanaume hakuweza kuingiza uume wake aka mwagia nje je Kuna uwezekano wa kupata mimba
Habari! Mimi shida yangu ni milija inayotoka kwenye korodani inajaa na kuweka vinundununda.
Na je Kuna complication gan anazopata mtyu akitoa ujauzito wa wiki mbili