Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Na je Kuna complication gan anazopata mtyu akitoa ujauzito wa wiki mbili
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 539
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Swali langu ni kwamba kiungulia linaweza sababisha Kansas ya Koo?
Nasikia dalili ya kuumwa Tumbo Kwa chini upande kushito, mäumivu yanafika mpaka nyingani
Niliharibikiwa na ujauzito wa week 7 kutokana na kuumwa ambapo nikatumia dawa ambazo sikujua kama Zina effects za kuharibu mimba so nikasafishwa kizazi nikapewa na dawa nikarudi KATIKA Hali yangu kawaida Lakini Leo ni kama siku ya tatu ninahisi maumivu Kwa mbali hasa chini ya kitovu upande wa kushoto au hta nikibinyabinya hiyo sehemu na mkono JE MAUMIVU HAYO YANASABABISHWA NA NINI ?
Vidonda vyatumbo hasa uhuma maeneogani, pemben mwatumbo, maeneo yakat kat yatumbo
Mimi maziwa yalikuwa yanauma ndani ya siku 7 siku ya 13 nimeona damu je.ninamimba
Kuna mwanamke nimetembea nae na inasadikiwa ameathirika na ukimwi. Sasa niliposoma kwenye makala yako pale google ukielezea dalili za hawali sijaziona na nilitembea nae mara 2 na ni mwezi 11 mwishoni