Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Hiviukiwa Umefunga swarm unarusiwa kumuadhibu MTU au
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 1128
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Je km mtu aliishi miaka mingi bila kufunga na anamke wake halali wakati wakiishi walikuwa wanafanya matendo yote ikiwemo kujamiiana kipindi chote cha ramadhan kwa mda wowote iwe Asubuhi au mchana Sasa wameamua waanze kufunga swaum je Hawa watu watahusika na ile hukumu ya kufunga siku 60 mfurulizo? Au kuzilipa zile ramadhan walizo ziacha huko nyuma?
A'alaykum, Nilioa mke wa pili baadae nikija kumjurisha mke wangu wa kwanza, yeye ajafanya maamuzi ya kuondoka huu mwaka wa 6 sasa na sijampa talaka, hapo kuna ndoa tena?
Asalam alykum nataka kujua inakuwaje hukumu ya mwanamke alotoka nje ya ndoa.na mumewe kamwambia ikitoka nje ya ndoa ndo talaka yako.na akatoka nje ya ndoa.je VP hapo ndoa Bado ipo au ndo talaka tayari ishatoka km mume alivyosema?na je baada ya mwanamke huyo kule
Kama upo kwenye safi Au mstari wa katikati utatokaje ?kwenye safi na watu wana swala?
As,alykum,فتنةا،نقلب علاوجهه ndugu .muislamu,naomba,nisaidie,endapo nitasimama kwenye,neno fitnatun.neno la mbele nitalianzaje?
Je? Unaswaumu halafu umezaa nje mtoto mama kaomba hela unaruhusiwa kuto?