Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Nabii lut alikwenda wapi baada ya gharika
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 982
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Mwanamke anapotalikiwa yapaswa kwake kufanya nini na kutofanya nini
Swalat haja inaswaliwa vipi? Samahani.na muda mzuri ni upi rakaa ngapi ? Dua au sura ipi?
Mm nauliza sual kwann baada ya mtume Muhammad hakuletwa mtume mwengine
Je km mtu aliishi miaka mingi bila kufunga na anamke wake halali wakati wakiishi walikuwa wanafanya matendo yote ikiwemo kujamiiana kipindi chote cha ramadhan kwa mda wowote iwe Asubuhi au mchana Sasa wameamua waanze kufunga swaum je Hawa watu watahusika na ile hukumu ya kufunga siku 60 mfurulizo? Au kuzilipa zile ramadhan walizo ziacha huko nyuma?
Nataman kujua Jins ya kujitwaharish kujua kuswali na kusoma Quan je unanisaidiaj?
Wakati wa kuswalia mait,Yawezekana unapenda kuswali,Maiti wako,ila humjuzi wa hiz Dua, yafaa nikafanya kwa vitendo? Siri yangu Kimoyomoyo,?