UGONJWA WA MALARIA NA TAKWIMU ZA ATHARI YAKE KIDUNIA

Malaria ni katika maradhi ambayo husambazwa na na mbu jike aina ya anopheles.

UGONJWA WA MALARIA NA TAKWIMU ZA ATHARI YAKE KIDUNIA

4. MALARIA

Malaria ni katika maradhi ambayo husambazwa na na mbu jike aina ya anopheles. Kutokana na shirika la umoja wa mataifa linaloshughulikia afya (WHO) limetoa takwimu kuwa karibia watu milioni 300 mpaka 500, huathirika na ugonjwa wa malaria kila mwaka duniani. Na baadhi ya tafiti zinaonyesha kuwa yapata watu 470,000 wanafariki kwa ugonjwa wa malaria kila mwaka.

 

Ugonjwa wa malaria ulishakuwepo duniani toka zamani sana. Tafiti zinathibitisha kuwa malaria ilishakuwepo yapata miaka 2700 K.K yaani miaka 2700 kabla ya kuzaliwa kwa yesu. Na ndio maana kuna dawa nyingi za kienyeji ambazo zinatibu malaria, kwani wazee walishaugua ugonjwa huu toka zamani sana.

 

Dalili za malaria ni kama homa, maumivu ya viungo, viungio na mvurugiko wa tumbo. maumivu ya kichwa, kutapika ama kichefuchefu. Kutokwa na jaho na kukosa hamu yakula. Kuhisi baridi kali sana na kutetemeka. Kama mgonjwa atachelewa kutibu dalili hizi anaweza kuchanganyikiwa, kushindwa kupumua na hatimaye kifo. Kuusoma zaidi bofya hapa



                   

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Jifunze Main: Afya File: Download PDF Views 1006

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 web hosting    👉3 Dua za Mitume na Manabii    👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉5 Kitabu cha Afya    👉6 kitabu cha Simulizi   

Post zinazofanana:

Kitabu cha Afya 03

Yajuwe mambo yanayoathiri afya ya miili yetu, jifunze mambo mengi kuhusu afya.

Soma Zaidi...
YANAYOATHIRI AFYA TABIA

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...
darasa la lishe

Jifunze mengi kuhusu afya na lishe, ujuwe utaratibu wa lishe

Soma Zaidi...
MAWAKALA WA MARADHI

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...
Umoja wa mataifa unazungumziaje afya

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu Mambo ya kiafya yanayozungumzwa na umoja wa mataifa

Soma Zaidi...
YANAYOATHIRI AFYA KATIKA MAZINGIRZ

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...
VYAKULA

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...
Nini maana ya Afya

Maana ya afya ni pana sana tofauti na vile ambavyo sisi tunajuwa. Afya inahusisha mambo mengi sana.

Soma Zaidi...