Mafunzo ya HTML Level 2 somo la 8 (HTML FULL COURSE FOR BEGINNERS LESSON 8)

Hili ni somo la mwisho mafunzo ya HTML level 2 (html full course for beginners)

PROJECT YETU YA MWISHO KULINGANA NA COURSE:
Huu ni ukurasa wa mbele wa tovuti (landing page) ndio ukurasa mkuu. Ukurasa huu umegawanyika katika sehemu kuu nne. Ukurasa huu umedizaidiwa kulingana na mafunzo ambayo yamefundishwa. Ni matarajio yetu katika muendelezo wa mafunzo haya ukurasa huu utaboreshwa zaidi. Sasa hebu tuone ukurasa huu:-

1.Sehemu ya kwanza ni <head> hapa ndipo amabapi metadata zipi. Kuna jina la mwandishi, na muhutasari, na pia kuna title ya kurasa. Character set iliyotumika ni 8.
<head>
<meta charset="utf-8">
<meta name="viewport" content="width=device-width, initial-scale=1, shrink-to-fit=no">
<meta name="author" content="Rajabu">
<meta name="description" content="Mafunzo ya HTML, FULL COURES FOR BEGINNERS">
<title>Home Page</title>
</head>

 

 

2.Sehemu ya pili ni <header> hapa ndipo ambazo kuna menu. Menu imetengenezwa kwa batani pamoja na hypertext reference kwa ajili ya kuwekea link za kwenye menu. Background color ya menu ni black. Pia ukubwa wa batani ji x-large kwa maana batani zimekuzwa ukubwa.

 

 

<style>
menu {background-color: black;}
a {color: blue;
text-decoration: none;
}
button {font-size: x-large;}
.left {float: left; }
.middle {float: left;}
.right {float: right;}
.button {background-color: green;}
div {color: black; width: 33.32%;}
@media screen and (max-width: 600px) {
div {width: 100%;}
}
</style>
<header>
<menu>
<button><a href="#">COURSES</a></button>
<button><a href="#">EXAMS</a></button>
<button><a href="#">PROJECTS</a></button>
<button><a href="#">BLOG</a></button>
<button><a href="#">CONTACTS</a></button>
</menu>
</header>


3.Sehemu ya tatu ni section <div> hii imegawanyika katika row tatu. Kila row imezungushiwa na batani. Rangi ya batani ni ya kijani.ukubwa wa kila row ni 33.32%. rangi ya maandishi ni nyeusi. Style iliyotumika ni ya nje na ndani. Row hizi 3 zitavunjika na kila moja kukaa kivyake endapo ukurasa utafunguliwa kwenye simu. Hivyo kila row itakuwa na upana wa 100%. hii imefanya na @media screen and (max-width: 600px) {
div {width: 100%;}
<div class="left">
<button class="button"><h1>ABOUT US</h1>Sisi ni grupu la Fb tunaotoa mafunzo bure juu ya kutengeneza blog na website pamoja na Android App.</button>
</div>
<div class="middle">
<button class="button"><h1>WHO WE ARE</h1>Sisi ni kundi linalotoa elimu ya Teknolojia bure. Tunafanya hivi kwa kushirikiana na wadau wengine</button>
</div>
<div class="right">
<button class="button"><h1>WHAT WE DO</h1>Tunafundisha jinsi ya kutengeneza Website, Blog na Android App. Tunafanya haya bila ya kudai malipo yoyote yale</button>
</div>

 

 

4.Sehemu ya mwisho ni section <main> hii imekusanya maelezo ya kuhusu tovuti hii. Section hii itakuja chini ya section iliyopita. Mpangilio wa text ni center. Style zaidi zilizotumika imechukuwa style ya paragraph zilizotumika huko juu
<main>
<h1 style="text-align: center;">KUHUSU SISI</h1>
<p style="text-align: justify;">Sisi ni wadau wa teknolojia. Tumejitolea kufundishana na kufahamishana zaidi katika teknolojia hususani katika lugha za kikompyuta. Project hii ni project ya pili katika course yetu ya HTML level ya pili. Tunatarajia katika level ya tatu kuboresha project hii kuwa nzuri zaidi. Unaweza kuangalia project yetu ya kwanza kwenye link ya project hapo juu<br><br>

 

 

 

 

Ni matarajio yetu kuwa project hizi ni mja ya njia za kuonjesha maendeleo yetu katika kujifunza. Hatuta ishia hapa. Malengo yetu ni kujuwa zaidi namna ya kutumia lugha za kikompyuta kuweza kufanya mengi. Lengo letu ni kusaidia jamii katika haya tutakayoyasoma. Tunatarajia kutengeneza project ambazo zina malengo ya Kusaidia jamii kwa ujumla. <br><br>
Tafadhali kama na wewe ni mdau wa teknolojia tunaomba usaidie katika kutuunga mkono kwa mawazo na kifedha kama utakuwa na wasaa.<br>
</p>
<br><br><h1 style="text-align: center; font-size: 100%;">Welcome All</h1><br><br><br>
</main>

 

 

 

 

5.Section <footer> hii ndio sehemu ya mwisho ya ukurasa huu. Sehemu hii ipo ndani ya <footer> zaidi sehemu hii imeonyesha nyia za kuwasiliana nasi.background color ni gray, hivyo maandishi nimeyaweka kuwa meupeiki kuendana na rangi. Rangi ya link haikubadilishwa.

 

 

 

 

CODE ZAOTE NI HIZI

 

 


 

<html>
<head>
<meta charset="utf-8">
<meta name="viewport" content="width=device-width, initial-scale=1, shrink-to-fit=no">
<meta name="author" content="Rajabu">
<meta name="description" content="Mafunzo ya HTML, FULL COURES FOR BEGINNERS">
<title>Home Page</title>
</head>
<body>
<style>
menu {background-color: black;}
a {color: blue;
text-decoration: none;
}
button {font-size: x-large;}
.left {float: left; }
.middle {float: left;}
.right {float: right;}
.button {background-color: green;}
div {color: black; width: 33.32%;}
@media screen and (max-width: 600px) {
div {width: 100%;}
}
</style>
<header>
<menu>
<button><a href="#">COURSES</a></button>
<button><a href="#">EXAMS</a></button>
<button><a href="#">PROJECTS</a></button>
<button><a href="#">BLOG</a></button>
<button><a href="#">CONTACTS</a></button>
</menu>
</header>
<div class="left">
<button class="button"><h1>ABOUT US</h1>Sisi ni grupu la Fb tunaotoa mafunzo bure juu ya kutengeneza blog na website pamoja na Android App.</button>
</div>
<div class="middle">
<button class="button"><h1>WHO WE ARE</h1>Sisi ni kundi linalotoa elimu ya Teknolojia bure. Tunafanya hivi kwa kushirikiana na wadau wengine</button>
</div>
<div class="right">
<button class="button"><h1>WHAT WE DO</h1>Tunafundisha jinsi ya kutengeneza Website, Blog na Android App. Tunafanya haya bila ya kudai malipo yoyote yale</button>
</div>
<main>
<h1 style="text-align: center;">KUHUSU SISI</h1>
<p style="text-align: justify;">Sisi ni wadau wa teknolojia. Tumejitolea kufundishana na kufahamishana zaidi katika teknolojia hususani katika lugha za kikompyuta. Project hii ni project ya pili katika course yetu ya HTML level ya pili. Tunatarajia katika level ya tatu kuboresha project hii kuwa nzuri zaidi. Unaweza kuangalia project yetu ya kwanza kwenye link ya project hapo juu<br><br>

Ni matarajio yetu kuwa project hizi ni mja ya njia za kuonjesha maendeleo yetu katika kujifunza. Hatuta ishia hapa. Malengo yetu ni kujuwa zaidi namna ya kutumia lugha za kikompyuta kuweza kufanya mengi. Lengo letu ni kusaidia jamii katika haya tutakayoyasoma. Tunatarajia kutengeneza project ambazo zina malengo ya Kusaidia jamii kwa ujumla. <br><br>
Tafadhali kama na wewe ni mdau wa teknolojia tunaomba usaidie katika kutuunga mkono kwa mawazo na kifedha kama utakuwa na wasaa.<br>
</p>
<br><br><h1 style="text-align: center; font-size: 100%;">Welcome All</h1><br><br><br>
</main>
<style>
footer {background-color: grey;}
b {color: darkblue;}
p {text-align: center;}

</style>
<footer>
<p style="color: white;">Masomo haya yamedhaminiwa na bongoclass.com. Tunatarajia kila tutakapomaliza course kuifanyia project. Hivyo project itakayofata baada ya hii tunatarajia iwe na ubora zaidi.
<h1 style="text-align: center;">WASILIANA NASI </h1>
<p>
<a href="mailto:hege@example.com"><b>Email</b></a>&nbsp;&nbsp;&nbsp;
<a href="#"><b>Youtube</b></a>&nbsp;&nbsp;&nbsp;
<a href="#"><b>Facebook</b></a>&nbsp;&nbsp;&nbsp;
<a href="#"><b>Twitter</b></a>&nbsp;&nbsp;&nbsp;
<a href="#"><b>instra</b></a></p><br><br><br>
<h1 style="text-align: center; font-size: 100%;">@bongoclass.com</h1>
</footer>
</body>
</html>

Kama utataka kuhost code hizi pitia masomo yetu yaliyopita utajifunza jinsi ya kuhost bure. Cheki video hii https://www.youtube.com/watch?v=JyHtRDK7QUI


MWISHO WA COURSE:
Huu ndio mwisho wa course hii. Itafuatiwa na HTML ADVANCED COURSE FOR BEGINNERS. Pia tunatarajia course hii itakwenda pamoja na CSS na JAVASCRIPT. Endelea kuwa na si kupata masomo mengine ya PHP na SQL.

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Tehama Main: Jifunze File: Download PDF Views 1052

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉2 Madrasa kiganjani    👉3 Kitau cha Fiqh    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

Mafunzo ya DATABASE - MySQL database somo la 5

Huu ni muendelezo wa mafunzo ya DATABASE kwa kutumia software ya MySQL na hili ni somo la tano. katika somo hili utajifunza type of data yaani aina ya taarifa ambazo unaweza kuzihifadhi kwenye database yako.

Soma Zaidi...
Mafunzo yz database MySQL database somo la 12 (final)

Huu ni muendelezowa mafunzo ya database kwa kutumia MySQl na hili ni somo la 12. katika somo hili tutajifunza namna ya kufanya mahesabu kwa kutumia SQl katika database

Soma Zaidi...
Php level 1 somo la saba (7)

Hili ni somo la saba, mafunzo ya php level 1. Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuandika function yako mwenyewe.

Soma Zaidi...
PHP level 1 somo la kumi (10)

Somo la 10 mafunzo ya php level 1. Katika somo hili utajifunza kuhusu condition statement.

Soma Zaidi...
Mafunzo ya HTML level 1 somo la 5 (HTML basic level FOR BEGINNERS)

katika somo hili la tano kwenye mafunzo ya HTML level 1 utajifunza jinsi ya 1.Kuweka picha 2.Kuweka rangi 3.Kuweka linki 4.Kupangilia position na alignment ya maandishi 5.Kuongeza ukubwa wa herufi 6.Kukoment

Soma Zaidi...
Mafunzo ya html level 2 (html full course for beginners)

haya ni mafunzo ya HTML level 2 kwa wenye kuanza. Mafunzo haya ni muendelezo wa level 1 html. Katika course hii utajifunza mengi zaidi lu;iko level1 pia tutazidi kuboresha project yetu.

Soma Zaidi...
Mafunzo ya DATABASE - MySQL database somo la 8

Huuu ni muendeleo wa mafunzo ya database kwa lugha ya kiswahili, na hili ni somo la nane. Katika somo hli utajifunza namna ya kuweka taarifa kwenye database, kuzfuta na kuziediti yaani kuzifanyia marekebisho.

Soma Zaidi...
Mafunzo ya HTML Level 2 somo la 5 (HTML FULL COURSE FOR BEGINNERS LESSON 5)

Karibu tena katika mafunzo haya ya html level 2 na hili ni somo la 5. Katika somo hili utajifunza zaidi kuhusu kuweka style kwenye html file.

Soma Zaidi...
PHP level 1 somo la sita (6)

Katika somo hili la php level 1 somo la 6 utajifunza namna ya kutumia tarehe yaani function date() kwenye PHP

Soma Zaidi...
Mafunzo ya DATABASE kwa kutumia MySQL DATABASE kwa kiswahili somo la 4

Huu ni mwendelezo wa mafunzo ya database kwa kutumia MySQL na hili ni somo la nne katika mlolongo wa masomo haya. Katika somo hili utajifuza jinsi ya kubadili jina la database na kufuta database. Pia tutajifunza kutumia SQL kufanya hayo.

Soma Zaidi...