image

Mafunzo ya HTML Level 2 somo la 1 (HTML FULL COURSE FOR BEGINNERS LESSON 1)

hili ni somo la pili katika mafunzo ya HTML level 2 html full course for beginners. Katika somo hili tutaangalia utangulizi juu ya HTML na pia utajifunza faida za HTML.

HTML FULL COURSE FOR BEGINERS

Kaributena katika mafnzo ya HTML na jinsi ya kutengeneza blog na website. Somo hili litakwenda kukupeleka zaidi kwenye ujuzi wa kujuwa kutengeneza website ambayo ipo katika ubora na muonekano mzuri. Uendeshwaji wa masomo yetu haya ni kujifunza kwa vitendo. Kila somo litakujia na video yake. Pia mwisho wa course utashiriki kufanya project kulingana na somo husika. Katika mlolongo huu wa mafunzo haya tutaangalia namna ya kumzawadia ambaye ataleta project iliyo nzuri kuliko wengine. Sharti iendane na masomo yaliyofundishwa.


NITAFAIDIKA VIPI NIKIJIFUNZA HTML?
Kwa kuwa utakuwa umeongeza elimu hiyo pia ni faida. Lakini hzi ni faida tu ambazo utaweza kuzipata:-
1.Utaweza kutengeneza website (wavuti) yako mwenyewe kwa kucode na si kwa kutumia onlineplatform ambapo hutakuwa na umiliki na data zako.
2.Itakuwa rahisi kujifunza lugha nyingine za kikompyuta kama javascript, na php.
3.Html hutumika katika kupangilia muonekano wa blog na website hata kama unatumia onlineplatform kama blogger na wordpress
4.Kwa anayetaka kumanage database HTML itamsaidia katika kupangila muonekano wa taarifa hizo akisaidia na mchanganyiko wa lugha nyingine kama php n.k
5.Html hutumika katika kutengeneza Android App na Web App.

 

 

JE HTML PEKEE INATOSHA KWAWEBSITE?
Ndio inatosha kama hutojali kuweka mbwembwe. Angalia website ya kwanza kwenye link hii http://info.cern.ch/hypertext/WWW/TheProject.html ukiangalia kwa uzuri utagunduwa kuwa website ya kwanza imetengenezwa kwa HTML.

 

 

 

 

KWA NINI UJIFUNZE PAMOJA NASI.
Kuna maeneo mengi ambayo unaweza kujifunza hizi mabo ikiwemo youtube. Lakini kwa nini ninakushauri ujifunze pamoja nasi? Ni kwa sababu:-
1.We work on real project. Mwisho wa kila course tunafanya project ambapo kila mshiriki atashiriki katika kukamilisha project yake akiwa na msaada wa kundi kubwa nyuma yake.
2.Tunajifunza kwa kushirikiana kwa pamoja. Yaani utashiriki mafunzo haya moja kwa moja na wenzio, tauliza swali na kujibiwa ndani ya muda mfupi.
3.Utajifunza kulingana na kifaa chako. Huna ulazima wa kuwa na kompyuta ndio ujifunze code.

 

 

 

 

MUDA WA COURSE HII
Madomo haya yatakuchuwa muda usiozidi wiki mbili kwa kuskoma. Yaani mwisho ni vipindi 15 huwenda visifike. Inaamaana utajifunza ndani ya wiki 2 utafanya project.

 

 

VIGEZO VYA KUSHIRIKI MAFUNZO HAYA:
1.Uwe na simu janja (smartphone) au kompyuta
2.Uwe na uwezo wa kujuwa kusoma na kuandika
3.Uwe mjanja

 

 

JE NAHITAJIKA KULIPA?
Hapana, hutahitajika kulipa hata kkidogo katika mafunzo haya. Hata hivyo kama utahitaji kujifunza zaidi nje ya mafunzo haya yes malipo yatafanyika kwa gharama nafuu.

 

 

 

 

JINSI YA KUANDAA KOMPYUTA YAKO AMA SIMU KWA AJILI YA SOMO:
1.Kwa watumiaji wa simuingia playstore andika TrebEdit itakuja Appkisha download au tumia link hii https://play.google.com/store/apps/details?id=com.teejay.trebedit. Funguwa App, bofya menu, kisha bofya palipoandika workspace kisha bofya alama ya + kutengeneza project mpy. Kisha new project andika jina la folda weka website2, kisha save. Ukiwa ndani ya folda jipa ulilotengeneza bofya alama ya + kisha new folder andika image kisha save.rudi nyima ukiwandani ya folda la websitee bofya alama ya + kisha new file kisha weka jina andiak index.html kisha save. Funguwahilo faili la index.html, futa code ama maandisho yote utakayoyakuta kama yapo, copy code hizo hapochini kisha pest hapo kwenye faili lako. Ukifika hapo upo tayari kuanza somo. Angalia video link yake ipo chini hapoitkusaidia.

 

 


2.Kwa watumiaji wa kompyuta funguwa notepad, ama notepadplus ama sublimetext3. unaweza kudowload bure ila kwa notepad haina haja ya kudownload ipo kwenye kompyuta yako. Kwanza tengeneza folder lipe jina website2.kisha ndani ya folder hilo tengeneza folda jingine lipe jina imae. Rudi kwenye folda la website2 Tengeneza faili jipya kisha pest code hizo hapo chini kwenye faili lako.save as andika jina index.html. Lifunguwe faili lako la index.html kwakutumia browser kama chrome litafungukakama website. Angalia video itakusaidia. Unaweza kudownload notepadplus hapa https://notepad-plus-plus.org/downloads/v8.1.4/


CODE ZENYEWE NI HIZI HAPA:


 

<!DOCTYPE html>
<html>
<head>
<title>My First Webpage</title>
<meta charset="UTF-8">
<meta name="description" content="This is my first website">
</head>
<body>
<h1>Welcome to my webpage</h1>
<p>Welcome to my brand new website.</p>
<a href="http://www.google.com">Google</a>
</body>
</html>

 

 





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1048


Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani     👉2 kitabu cha Simulizi     👉3 Kitau cha Fiqh     👉4 Kitabu cha Afya    

Post zifazofanana:-

Mafunzo ya HTML level 1 somo la 3 (HTML basic level FOR BEGINNERS)
Hili ni somo la Tatu katika mfululizo wetu wa mafunzo ya HTML kwa basic level kwa wanaoanza kujifunza. Hapa tutakwenda kujifunza tag za html ambazo huwa zinatumika katika uandishi. Soma Zaidi...

Mafunzo ya DATABASE - MySQL database somo la 8
Huuu ni muendeleo wa mafunzo ya database kwa lugha ya kiswahili, na hili ni somo la nane. Katika somo hli utajifunza namna ya kuweka taarifa kwenye database, kuzfuta na kuziediti yaani kuzifanyia marekebisho. Soma Zaidi...

Mafunzo ya HTML level 1 somo la 4 (HTML basic level FOR BEGINNERS)
Hili ni somo la nne katika mafunzo ya html basic level. Hapa tutakwenda kuona jinsi ya kuzifanyia kazi tag ambazo umejifunza katika somo lililotangulia. Soma Zaidi...

PHP level 1 somo la sita (6)
Katika somo hili la php level 1 somo la 6 utajifunza namna ya kutumia tarehe yaani function date() kwenye PHP Soma Zaidi...

Mafunzo ya HTML Level 2 somo la 6 (HTML FULL COURSE FOR BEGINNERS LESSON 6)
Katika somo hili la 6 mafunzo ya HTML level 2, tutajfunza namna ya kugawa ukurasa wa wavuti wa html. Soma Zaidi...

Mafunzo ya database MySQL somo la 3
Huu ni mwendelezo wa mafunzo ya database na jinsi ya kutengeneza bloga na website na hili ni somo la tatu. hapa utajifunza jinsiya kutengeneza database yako kwa mara ya kwanza. Soma Zaidi...

Mafunzo ya database MySQL database somo la 9
haya ni mafunzo ya database kwa kutumia MySQl na hili ni somo la 9. katika soo hili utajifunza namna ya kusoma ama kutumia taarifa zilizomo kwenye DATABASE. Soma Zaidi...

PHP level 11 somo la kumi na moja (11)
Katika somo hilivutajifunza namna ya kutumia HTML form. Namna ya kuookea taarifa kutoka kwenye madodoso ya html form. Soma Zaidi...

Mafunzo ya HTML level 1 somo la 5 (HTML basic level FOR BEGINNERS)
katika somo hili la tano kwenye mafunzo ya HTML level 1 utajifunza jinsi ya 1.Kuweka picha 2.Kuweka rangi 3.Kuweka linki 4.Kupangilia position na alignment ya maandishi 5.Kuongeza ukubwa wa herufi 6.Kukoment Soma Zaidi...

PHP level 1 somo la kumi na mbili (12) final
Mafunzo ya php level 1 somo ka 12 mwisho wa mafunzo. Hapa utaona project ambazo unaweza kufanya kutokana na mafunzo haya. Soma Zaidi...

Mafunzo ya html level 2 (html full course for beginners)
haya ni mafunzo ya HTML level 2 kwa wenye kuanza. Mafunzo haya ni muendelezo wa level 1 html. Katika course hii utajifunza mengi zaidi lu;iko level1 pia tutazidi kuboresha project yetu. Soma Zaidi...

Mafunzo ya php level 1 somo la nne (4)
somo hili la 4 katika mafunzo ya PHP level 1 utajifunza aina za data mabazo php inakwenda kuzitumia. Soma Zaidi...