Madhara ya kutumia tissue au toilet paper

Post hii inahusu zaidi madhara ambayo tunaweza kuyapata katika matumizi ya toilet paper au tisu kwenye sehemu za siri.

Madhara ya kutumia toilet paper au tisu kwenye sehemu za siri.

1. Kwanza kabisa tunafahamu kwamba unapotumia toilet paper hasa wakati wa haja ndogo baadhi ya vikaratasi vidogo vidogo ambavyo haviwezi kuonekana ujishikiza kwenye sehemu za siri na kusababisha au kwenye mashavu ya uke na kukaa hapo .

 

2. Baada ya vipande vidogo vidogo vya toilet paper kujishikiza usababisha kuwepo kwa uchafu kwenye mashavu ya uke na kusababisha hali ya kuzalisha fungasi na bakteria kwenye uke.

 

3. Hao bakteria na fungi ambao uzaliwa usababisha maambukizi kwenye uke hasa pale usafi husipofanyika vizuri kwenye sehemu za siri.

 

4. Maambukizi hayo yanayosababishwa na bakteria na fungusi usababisha miwasho kwenye sehemu mbalimbali za siri na wakati mwingine kuhisi kuna vitu vina choma choma kwenye sehemu za siri.

 

5.kwa hiyo hali kama hiyo Usababisha kuwepo kwa harufu mbaya kwenye uke na pengine mtu anaweza kujua kwamba ni magonjwa mbalimbali ya zinaa kama vile kaswende na kisonono, kumbe ni matumizi mabaya ya toilet paper na tisu nyingine.

 

6. Kwa hiyo tunapaswa kutumia maji safi na sabuni baada ya haja ndogo ili kuweza kuepuka hali ya kuwepo kwa Maambukizi mbalimbali kwenye uke, kwa hiyo akina mama ni wakati wa kujifanyia usafi ili kuondokana na tatizo hili la kuwepo kwa Maambukizi kwenye sehemu za siri.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Jifunze Main: Afya File: Download PDF Views 2761

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 Bongolite - Game zone - Play free game    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina   

Post zinazofanana:

MARADHI YASABABISHWAYO NA HALI ZA MAISHA

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...
Zijuwe faida za kiafya za kula Zabibu

Kula zabibubkina faida nyingi kwa afya yako.

Soma Zaidi...
MAZINGIRZ

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...
dondoo 100 za Afya

Basi tambua haya;- 21.

Soma Zaidi...
Umuhimu wa kupiga push up kiafya

Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kupiga push up kiafya, ni mambo au faida zipatikanazo ki afya kwa wapigaji wa push up kama ifuatavyo.

Soma Zaidi...
HUDUMA ZA KIAFYA KATIKA JAMII

Umuhimu wa huduma za kiafya katika jamii

Soma Zaidi...
Namna ya kuzuia dalili za hatari kwa aliyefanyiwa upasuaji

Posti hii inahusu zaidi namna ya kuzuia dalili za hatari kwa aliyefanyiwa upasuaji, ni mbinu mbalimbali ambazo utumika ili kujaribu kuepuka Dalili za hatari kwa aliyefanyiwa upasuaji.

Soma Zaidi...
Kujiepusha na Vishawishi vya Zinaa

Kujiepusha na Vishawishi vya ZinaaKatika macho ya sheria kitendo cha zinaa kinahesabiwa pale wanapokutana kimwili mwanamume na mwanamke nje ya ndoa.

Soma Zaidi...