Madhara ya kutumia tissue au toilet paper
Post hii inahusu zaidi madhara ambayo tunaweza kuyapata katika matumizi ya toilet paper au tisu kwenye sehemu za siri.
Madhara ya kutumia toilet paper au tisu kwenye sehemu za siri.
1. Kwanza kabisa tunafahamu kwamba unapotumia toilet paper hasa wakati wa haja ndogo baadhi ya vikaratasi vidogo vidogo ambavyo haviwezi kuonekana ujishikiza kwenye sehemu za siri na kusababisha au kwenye mashavu ya uke na kukaa hapo .
2. Baada ya vipande vidogo vidogo vya toilet paper kujishikiza usababisha kuwepo kwa uchafu kwenye mashavu ya uke na kusababisha hali ya kuzalisha fungasi na bakteria kwenye uke.
3. Hao bakteria na fungi ambao uzaliwa usababisha maambukizi kwenye uke hasa pale usafi husipofanyika vizuri kwenye sehemu za siri.
4. Maambukizi hayo yanayosababishwa na bakteria na fungusi usababisha miwasho kwenye sehemu mbalimbali za siri na wakati mwingine kuhisi kuna vitu vina choma choma kwenye sehemu za siri.
5.kwa hiyo hali kama hiyo Usababisha kuwepo kwa harufu mbaya kwenye uke na pengine mtu anaweza kujua kwamba ni magonjwa mbalimbali ya zinaa kama vile kaswende na kisonono, kumbe ni matumizi mabaya ya toilet paper na tisu nyingine.
6. Kwa hiyo tunapaswa kutumia maji safi na sabuni baada ya haja ndogo ili kuweza kuepuka hali ya kuwepo kwa Maambukizi mbalimbali kwenye uke, kwa hiyo akina mama ni wakati wa kujifanyia usafi ili kuondokana na tatizo hili la kuwepo kwa Maambukizi kwenye sehemu za siri.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉2 web hosting 👉3 Kitau cha Fiqh 👉4 Dua za Mitume na Manabii 👉5 Madrasa kiganjani 👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
Post zinazofanana:
Fahamu mtindo mzuri wa maisha
Postei hizi inahusu zaidi mtindo mzuri wa maisha, yaani mtu ale ki vipi au afanyeni nini ili kuweza kuboresha afya yake.
Soma Zaidi...Umoja wa mataifa unazungumziaje afya
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu Mambo ya kiafya yanayozungumzwa na umoja wa mataifa
Soma Zaidi...NAMNA AMBAZO MWILI HUPAMBANA NA MARADHI
Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Madhara kwa wasiofanya mazoezi
Posti hii inahusu zaidi madhara mbalimbali ambayo yanaweza kutokea kwa watu wasiofanya mazoezi, mazoezi ni kama tiba kwa namna Moja au nyingine ila Kuna madhara ambayo yanaweza kutokea kwa wale ambao hawafanyi mazoezi.
Soma Zaidi...