Madhara ya kutumia tissue au toilet paper

Post hii inahusu zaidi madhara ambayo tunaweza kuyapata katika matumizi ya toilet paper au tisu kwenye sehemu za siri.

Madhara ya kutumia toilet paper au tisu kwenye sehemu za siri.

1. Kwanza kabisa tunafahamu kwamba unapotumia toilet paper hasa wakati wa haja ndogo baadhi ya vikaratasi vidogo vidogo ambavyo haviwezi kuonekana ujishikiza kwenye sehemu za siri na kusababisha au kwenye mashavu ya uke na kukaa hapo .

 

2. Baada ya vipande vidogo vidogo vya toilet paper kujishikiza usababisha kuwepo kwa uchafu kwenye mashavu ya uke na kusababisha hali ya kuzalisha fungasi na bakteria kwenye uke.

 

3. Hao bakteria na fungi ambao uzaliwa usababisha maambukizi kwenye uke hasa pale usafi husipofanyika vizuri kwenye sehemu za siri.

 

4. Maambukizi hayo yanayosababishwa na bakteria na fungusi usababisha miwasho kwenye sehemu mbalimbali za siri na wakati mwingine kuhisi kuna vitu vina choma choma kwenye sehemu za siri.

 

5.kwa hiyo hali kama hiyo Usababisha kuwepo kwa harufu mbaya kwenye uke na pengine mtu anaweza kujua kwamba ni magonjwa mbalimbali ya zinaa kama vile kaswende na kisonono, kumbe ni matumizi mabaya ya toilet paper na tisu nyingine.

 

6. Kwa hiyo tunapaswa kutumia maji safi na sabuni baada ya haja ndogo ili kuweza kuepuka hali ya kuwepo kwa Maambukizi mbalimbali kwenye uke, kwa hiyo akina mama ni wakati wa kujifanyia usafi ili kuondokana na tatizo hili la kuwepo kwa Maambukizi kwenye sehemu za siri.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Jifunze Main: Afya File: Download PDF Views 2996

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 Dua za Mitume na Manabii    👉6 Bongolite - Game zone - Play free game   

Post zinazofanana:

MAANA YA AFYA

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...
YANAYOATHIRI AFYA KUTOKANA NA VIZAZI, FAMILIA NA KURITHI

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...
JIFUNZE NAMNA YA KUKABILIANA NA UGONJWA WA MAFUA

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...
hathari zitokanazo na uvutaji wa sigara ,pombe na madawa ya kulevya na mbinu za kujikinga nayo

Posti hii inahusu zaidi utumiaji wa pombe na sigara pamoja na madawa katika jamii.

Soma Zaidi...
Jinsi ya kuepuka magonjwa ya figo

Figo ni moja katika orgn zenye umuhimu sana mwilini na endapo itaatirika kwa namna yeyote ile, madhara makubwa kwenye mwili yanaweza kutokea na hata kifo. Katika post hii utajifunza jinsi ya kulinda mwili wako dhidi ya matatizo ya figo

Soma Zaidi...
Sababu zinazopelekea kukosa Usingizi

Posti hii inazungumzia kuhusiana na Sababu zinazopelekea kukosa usingizi. Usingizi ni ugonjwa unaoendelea ambao unaweza kufanya iwe vigumu kusinzia, vigumu kubaki usingizini au vyote viwili, licha ya fursa ya kupata usingizi wa kutosha.Ukiwa na kukosa usi

Soma Zaidi...
Madhara kwa wasiofanya mazoezi

Posti hii inahusu zaidi madhara mbalimbali ambayo yanaweza kutokea kwa watu wasiofanya mazoezi, mazoezi ni kama tiba kwa namna Moja au nyingine ila Kuna madhara ambayo yanaweza kutokea kwa wale ambao hawafanyi mazoezi.

Soma Zaidi...
VIJUE VIDONDA VYA TUMBO, SABABU ZAKE NA DALILI ZAKE

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...