Kwanini najihisi mchovu alafu tumboni kunavitu navihisi vinacheza sielewi

Habari yako Dokta.

Kwanini najihisi mchovu alafu tumboni kunavitu navihisi vinacheza sielewi

Habari yako Dokta...!!

Kwanini najihisi mchovu alafu tumboni kunavitu navihisi vinacheza sielewi



Namba ya swali 007

Pole sana



Namba ya swali 007

Pia Mate kujaa mdomoni kutamani baadhi ya vyakula nanimetoka sikuzangu mda kama wiki mbili zilizopita



Namba ya swali 007

Pole sana, una muda gani na tatizo hilo



Namba ya swali 007

Wiki yapili sasa



Namba ya swali 007

Ulikutana na mwenzio lini? na Siku ya mwisho kuona hedhi ilikuwa lini?



Namba ya swali 007

Lakini hata kabla ya kuona hedhi yangu ya mwezi uliopita nilikuwa nahisi hali kamahii mara maziwa kuuma na kujaa napia hii hedhi ilikuwa inatoka nyepesi Sana sio kawaida yadamu inatakiwa iwe nzito



Namba ya swali 007

Ni mabadiliko ya homoni katika mwili wako ndio yanasababisha hayo. Inaweza kuwa sababu. Hali inaweza kukaa sawa baada ya muda.

Sababu nyingine ni kama:

1. Matumizi ya dawa za uzazi wa mpango

2. Maradhi ya ovari

3. Huwenda una PID (mashambulizi ya bakteria)



Namba ya swali 007

Mimba yangu yakwanza nilikuwa ninaujauzito lakini niliingia kwenye siku zangu takribani miezi mitata then ikakata mpaka nilivyo jifungua



Namba ya swali 001

Siinatokeaga kwamba kunamwanamke anaujauzito lakini anaona siku zake kamakawaida au kunakuwa na tatizo



Namba ya swali 001

Hedhi kuwa nyepesi inaweza kuwa ni kwa sababu mwezi uliopita hakuna yai likilo komaa, ama kuna sawa za uzazi wa mpango unatumia. Ama lia ulikuwa na mawazo yaliyokusumbua. Maumivu ya matiti, na kichefuchefu ijapokuwa ni dalili za ujauzito lakini pia huashiria mabadiliko ya homoni, ama maradhi katika mfumo wa uzazi kama maradhi ya ovari. Kuhisi vitu kutembea inawwza kuwa ni kwa sababu ya gesi



Namba ya swali 001

Ndio upo uwezekano huo, ana ujauzito na anapata siku kwa uchache, na damu hii ni tofauti na ya hedhi. Kitaalamu inafahamika kama implantation bleeding



Namba ya swali 001

Nimekuelewa. Nina swali lingine dokta



Namba ya swali 001

yes Uliza tafadhali



Namba ya swali 001

Kwanini natokwa na uchafu mweupe sehem za Siri haushi



Namba ya swali 001

Umepima PID?



Namba ya swali 001

Nilikuwa na UTI lakini niliitibu



Namba ya swali 001

Fika kituo cha Afya kisha pima PID na uhakikishe tena kama UTI ilikwisha kabisa



Namba ya swali 001

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Jifunze Main: Afya File: Download PDF Views 1349

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 Madrasa kiganjani    👉3 Bongolite - Game zone - Play free game    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

Ijue timu ya upasuaji

Posti hii inahusu timu ya upasuaji hii ni timu ambayo inahusika katika chumba cha upasuaji, kwa sababu ya kutunza usafi na usalama chumba hiki kinapaswa juwa na timu ya watu wanne na walio na elimu kuhusu kazi hiyo.

Soma Zaidi...
Kitabu cha Afya 03

Yajuwe mambo yanayoathiri afya ya miili yetu, jifunze mambo mengi kuhusu afya.

Soma Zaidi...
UGONJWA WA MALARIA NA TAKWIMU ZA ATHARI YAKE KIDUNIA

Malaria ni katika maradhi ambayo husambazwa na na mbu jike aina ya anopheles.

Soma Zaidi...
NAMNA AMBAZO MWILI HUPAMBANA NA MARADHI

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...
dondoo 100 za Afya

Basi tambua haya;- 21.

Soma Zaidi...
MAZINGIRA

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...
Dondoo za afya 81-100

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu dondoo za afya

Soma Zaidi...
Namna ya kutunza chumba cha upasuaji

Posti hii inahusu zaidi namna ya kutunza chumba cha upasuaji, chumba cha upasuaji ni tofauti na vyumba vingine kwenye hospitali kwa hiyo vinahitaji uangalizi wa hali ya juu sana ili kuepuka aina yoyote ya uchafu kuwepo kwenye chumba hicho, zifuatazo ni na

Soma Zaidi...