image

Kwanini najihisi mchovu alafu tumboni kunavitu navihisi vinacheza sielewi

Habari yako Dokta.

Kwanini najihisi mchovu alafu tumboni kunavitu navihisi vinacheza sielewi

Habari yako Dokta...!!

Kwanini najihisi mchovu alafu tumboni kunavitu navihisi vinacheza sielewi



Namba ya swali 007

Pole sana



Namba ya swali 007

Pia Mate kujaa mdomoni kutamani baadhi ya vyakula nanimetoka sikuzangu mda kama wiki mbili zilizopita



Namba ya swali 007

Pole sana, una muda gani na tatizo hilo



Namba ya swali 007

Wiki yapili sasa



Namba ya swali 007

Ulikutana na mwenzio lini? na Siku ya mwisho kuona hedhi ilikuwa lini?



Namba ya swali 007

Lakini hata kabla ya kuona hedhi yangu ya mwezi uliopita nilikuwa nahisi hali kamahii mara maziwa kuuma na kujaa napia hii hedhi ilikuwa inatoka nyepesi Sana sio kawaida yadamu inatakiwa iwe nzito



Namba ya swali 007

Ni mabadiliko ya homoni katika mwili wako ndio yanasababisha hayo. Inaweza kuwa sababu. Hali inaweza kukaa sawa baada ya muda.

Sababu nyingine ni kama:

1. Matumizi ya dawa za uzazi wa mpango

2. Maradhi ya ovari

3. Huwenda una PID (mashambulizi ya bakteria)



Namba ya swali 007

Mimba yangu yakwanza nilikuwa ninaujauzito lakini niliingia kwenye siku zangu takribani miezi mitata then ikakata mpaka nilivyo jifungua



Namba ya swali 001

Siinatokeaga kwamba kunamwanamke anaujauzito lakini anaona siku zake kamakawaida au kunakuwa na tatizo



Namba ya swali 001

Hedhi kuwa nyepesi inaweza kuwa ni kwa sababu mwezi uliopita hakuna yai likilo komaa, ama kuna sawa za uzazi wa mpango unatumia. Ama lia ulikuwa na mawazo yaliyokusumbua. Maumivu ya matiti, na kichefuchefu ijapokuwa ni dalili za ujauzito lakini pia huashiria mabadiliko ya homoni, ama maradhi katika mfumo wa uzazi kama maradhi ya ovari. Kuhisi vitu kutembea inawwza kuwa ni kwa sababu ya gesi



Namba ya swali 001

Ndio upo uwezekano huo, ana ujauzito na anapata siku kwa uchache, na damu hii ni tofauti na ya hedhi. Kitaalamu inafahamika kama implantation bleeding



Namba ya swali 001

Nimekuelewa. Nina swali lingine dokta



Namba ya swali 001

yes Uliza tafadhali



Namba ya swali 001

Kwanini natokwa na uchafu mweupe sehem za Siri haushi



Namba ya swali 001

Umepima PID?



Namba ya swali 001

Nilikuwa na UTI lakini niliitibu



Namba ya swali 001

Fika kituo cha Afya kisha pima PID na uhakikishe tena kama UTI ilikwisha kabisa



Namba ya swali 001





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 541


Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani     👉2 Kitau cha Fiqh     👉3 kitabu cha Simulizi     👉4 Kitabu cha Afya    

Post zifazofanana:-

madhara ya tezi dume
Endapo tezi dume haitatibiwa ama itachlewa kutibiwa basi mtu anaweza kupata madhara. katika post hii utakwenda kuyajuwa madhara ya tezi dume kwenye Mwili Soma Zaidi...

Dondoo za afya 1-20
Somo Hili linakwenda kukuletea dondoo mbalimbali za afya Soma Zaidi...

Madhara ya kutumia tissue au toilet paper
Post hii inahusu zaidi madhara ambayo tunaweza kuyapata katika matumizi ya toilet paper au tisu kwenye sehemu za siri. Soma Zaidi...

Madhara kwa wasiofanya mazoezi
Posti hii inahusu zaidi madhara mbalimbali ambayo yanaweza kutokea kwa watu wasiofanya mazoezi, mazoezi ni kama tiba kwa namna Moja au nyingine ila Kuna madhara ambayo yanaweza kutokea kwa wale ambao hawafanyi mazoezi. Soma Zaidi...

darasa la lishe
Jifunze mengi kuhusu afya na lishe, ujuwe utaratibu wa lishe Soma Zaidi...

DALILI ZA KUTOKA AU KUHARIBIKA KWA MIMBA
Tafiti zinaonesha kuwa karibia asilimia 10% mpaka 25% ya wanawake wanaopata ujauzito, mimba zao hutoka. Soma Zaidi...

Dondoo za afya 61-80
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu dondoo za afya Soma Zaidi...

Habari za uzima,nimesoma makala yako tumbo linaniuma upande wa kulia Ila sisikii Sana yenyewe Ila nikibonyeza na mkono ndio inauma yaani ni Kama nimegongwa sehem flani alafu Kuna maumivu lakini ni mpaka upaguse ndio una experience maumivu Kama Kuna namna
Kama unasumbuliwana tumbo upande wa kulia, kushoto, kitomvuni ama kuoande wa kuliavkwachini, basi muulizaji huyu atakupa uelewa. Soma Zaidi...

YANAYOATHIRI AFYA KATIKA SHUGHULI ZA KILA SIKU
Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote Soma Zaidi...

NJIA AMBAZO MARADHI HUAMBUKIZWA
Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote Soma Zaidi...

NAMNA YA KUTUNZA AFYA KUANZIA JIKONI
Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote Soma Zaidi...

Safari ya damu kwa Kila siku
Posti hii inakwenda kukuletea mfumo wa damu mwilini na safari zake za Kila siku Soma Zaidi...