Habari yako Dokta.
    
    
        Habari yako Dokta...!!
            Kwanini najihisi mchovu alafu tumboni kunavitu navihisi vinacheza sielewi
        
        Namba ya swali 007
     
    
        Pole sana
        Namba ya swali 007
     
    
        Pia Mate kujaa mdomoni kutamani baadhi ya vyakula nanimetoka sikuzangu mda kama wiki mbili zilizopita
        Namba ya swali 007
     
    
        Pole sana, una muda gani na tatizo hilo
        Namba ya swali 007
     
    
        Wiki yapili sasa
        Namba ya swali 007
     
    
        Ulikutana na mwenzio lini? na Siku ya mwisho kuona hedhi ilikuwa lini?
        Namba ya swali 007
     
    
        Lakini hata kabla ya kuona hedhi yangu ya mwezi uliopita nilikuwa nahisi hali kamahii mara maziwa kuuma na kujaa napia hii hedhi ilikuwa inatoka nyepesi Sana sio kawaida yadamu inatakiwa iwe nzito
        Namba ya swali 007
     
    
        Ni mabadiliko ya homoni katika mwili wako ndio yanasababisha hayo. Inaweza kuwa sababu. Hali inaweza kukaa sawa baada ya muda.
        Sababu nyingine ni kama:
        1. Matumizi ya dawa za uzazi wa mpango
        2. Maradhi ya ovari
        3. Huwenda una PID (mashambulizi ya bakteria)
        Namba ya swali 007
     
    
        Mimba yangu yakwanza nilikuwa ninaujauzito lakini niliingia kwenye siku zangu takribani miezi mitata then ikakata mpaka nilivyo jifungua
        Namba ya swali 001
     
    
        Siinatokeaga kwamba kunamwanamke anaujauzito lakini anaona siku zake kamakawaida au kunakuwa na tatizo
        Namba ya swali 001
     
    
        Hedhi kuwa nyepesi inaweza kuwa ni kwa sababu mwezi uliopita hakuna yai likilo komaa, ama kuna sawa za uzazi wa mpango unatumia. Ama lia ulikuwa na mawazo yaliyokusumbua. Maumivu ya matiti, na kichefuchefu ijapokuwa ni dalili za ujauzito lakini pia huashiria mabadiliko ya homoni, ama maradhi katika mfumo wa uzazi kama maradhi ya ovari. Kuhisi vitu kutembea inawwza kuwa ni kwa sababu ya gesi
        Namba ya swali 001
     
    
        Ndio upo uwezekano huo, ana ujauzito na anapata siku kwa uchache, na damu hii ni tofauti na ya hedhi. Kitaalamu inafahamika kama implantation bleeding
        Namba ya swali 001
     
    
        Nimekuelewa. Nina swali lingine dokta
        Namba ya swali 001
     
    
        yes Uliza tafadhali
        Namba ya swali 001
     
    
        Kwanini natokwa na uchafu mweupe sehem za Siri haushi
        Namba ya swali 001
     
    
        Umepima PID?
        Namba ya swali 001
     
    
        Nilikuwa na UTI lakini niliitibu
        Namba ya swali 001
     
    
        Fika kituo cha Afya kisha pima PID na uhakikishe tena kama UTI ilikwisha kabisa
        Namba ya swali 001
     
    
 
Umeionaje Makala hii.. ?