Mitume waliosimuliwa katika Qur-an ni hawa ishirini na tano (25) wafuatao:
Adam (a.
Mitume waliosimuliwa katika Qur-an ni hawa ishirini na tano (25) wafuatao:
Adam (a.s)
Idrisa ( Enock)(a.s)
Nuhu (Noah)(a.s)
Hud (Heber) (a.s)
Salih (Metheusaleh) (a.s)
Ibrahim (Abrahim) (a.s)
Lut (Lot) (a.s)
Ismail (Ismael) (a.s)
Is-haq (Isaac) (a.s)
Yaaqub (Jacob) (a.s)
Yusuf (Joseph) (a.s)
Shu’aib (Jethro) (a.s)
Ayyub (Job) (a.s)
Mussa (Moses) (a.s)
Harun (Aaron) (a.s)
Dhul kifl (Ezekiel) (a.s)
Daud ( David) (a.s)
Sulayman (Solomon) (a.s)
Ilyaas (Elias) (a.s)
Al – Yassa’ (Elisha) (a.s)
Yunus (Johah) (a.s)
Zakariya (Zechariah) (a.s)
Yahya (John the Baptist) (a.s)
Isa (Jesus) (a.s)
Muhammad (s.a.w)
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Dua za Mitume na Manabii 👉2 Simulizi za Hadithi Audio 👉3 web hosting 👉4 Kitau cha Fiqh 👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
Post zinazofanana:
Jifunze ni kwa namna gani Malaika waliweza kuwasiliana ana manabii Malimbali
Wakatibmeingibe Allah anapotaka kuwasiliana na wanadamu hutuma Malaika wake.
Soma Zaidi...Kwa nini mwanadamu hawezi kuishi bila dini?
Mwanadamu hawezi kuishi bila dini, kwani dini imekusanya mfumo mzima wa maisha yake.
Soma Zaidi...