Zoezi - 2
1.
Zoezi - 2
1.(a) Maana ya dini kwa mtazamo wa Makafiri ni
(b) Maana ya dini kwa mtazamo wa Uislamu ni
2.Katika kuishi hapa duniani watu wamegawanyika makundi makubwa mawili:
(i)
(ii)
3.Kwa mtazamo wa Uislamu hakuna mtu anayeishi bila ya kufuata dini moja au nyingine kwa sababu :
4. Uislamu ndio dini pekee sababu tano zifuatazo:
(i)
(ii)
(iii)
(iv)
(v)
(vi)
(vii) inayostahiki kufuatwa na watu kwa
5.Kwanini Mwanadamu hawezi kuunda mfumo wa maisha utakao watendea haki na uadilifu walimwengu wote?
***************************************
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
π1 Dua za Mitume na Manabii π2 kitabu cha Simulizi π3 web hosting π4 Madrasa kiganjani π5 Simulizi za Hadithi Audio π6 Bongolite - Game zone - Play free game
π1 Dua za Mitume na Manabii π2 kitabu cha Simulizi π3 web hosting π4 Madrasa kiganjani π5 Simulizi za Hadithi Audio π6 Bongolite - Game zone - Play free game