picha

Chemsha bongo namba 10

7.

Chemsha bongo namba 10

Chemsha bongo 10

imageimage
7.Tujikumbushe kidogo na hii
Mtu mmoja alikuwa akitokea shmba. Kwa bahati mbaya mvua kubwa akamnyeshea. Akiwa hana mwavuli wala jacketi ama kiti chochote cha kumkinga na mvua. Hivyo alitota sana. Jambo la kushangaza alitota mwili mzima lakini hata nywele yake moja kichwani haikutota. Unadhani inawezekanaje?


Jibu
Kwa sababu alikuwa na kipara.


                   

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Chemshabongo Main: Burudani File: Download PDF Views 2226

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 Dua za Mitume na Manabii    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 Simulizi za Hadithi Audio    👉6 Bongolite - Game zone - Play free game   

Post zinazofanana:

Toroka gerezani

utaokoka vipi gerezani?

Soma Zaidi...
game

Karibu kwenye uwanja wa Game.

Soma Zaidi...
SIRI

Hapana mpaka sasa hautambui chochote kuhusu kilichotokea.

Soma Zaidi...
KUMTOROSHA MFUNGWA GEREZANI

Chemshabongo, Je? ungelikuwa ni w ewe ungetorokaje gerezani?

Soma Zaidi...
CHEMSHABONGO NA BONGOCLASS

Kupata kitabu hiki download faili la PDF hapo chini na usome bila ya internet.

Soma Zaidi...
Chemsha bongo namba 05

Ashumu upo kwenye chumba kimoja kikubwa sana, hakina milango wala madirisha.

Soma Zaidi...
SIRI

Baada ya kutulia vizuri unaanza kukumbuka umefikaje hapa kwenye misitu.

Soma Zaidi...